Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi akutana na Rais Jakaya Kikwete IKULU Jijini Dar es Salaam leo
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali.
Rais Jakaya Kikwete akijadiliana na Ujumbe maalum ukiongozwa na Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia)ikulu jijini Dar es Salaam Leo.
Rais Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia) IKULU Jijini Dar es Salaam...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi.jpg)
JK akutana na Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi Ikulu Jijini Dar es Salaam leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL
JK AKUTANA NA MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Vijimambo
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA



10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amvalisha Rais mpya wa Zambia




Rais mpya wa Zambia, Edgar Lungu akiwa amevaa suti maalum (Presidential suit)iliyobuniwa na Mbunifu wa mavazi wa Kimataifa kutoka Nchini...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI
10 years ago
Michuzi04 Dec
MBUNIFU WA MAVAZI SHERIA NGOWI AKUTANA NA WAZIRI MKUU PINDA

WaziriMkuu, MizengoPinda akisalimiana na Mbunifu wa kimataifa wa Mavazi, Sheria Ngowi alipotembelewa jana nyumbani kwake Masaki jijini Dar esSalaam. (Picha Zote: AtuzaNkurlu-SheriaNgowi Brand).


10 years ago
VijimamboRAIS JAKAYA KIKWETE AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU UKUMBI WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Vijimambo
RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO TANZANIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO


10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA ALBINO TANZANIA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO