Rose Muhando aibuka na ‘Facebook’
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando, ameibuka na wimbo mpya uitwao ‘Facebook’. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema ana imani wimbo huo utakuwa kivutio kikubwa kwa jamii,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dYrun-ABslc/U69qOUV22nI/AAAAAAAFtXg/gnZ3GjH41qY/s72-c/download.jpg)
Rose mhando aibuka na nyimbo mpya ya "Facebook"
![](http://3.bp.blogspot.com/-dYrun-ABslc/U69qOUV22nI/AAAAAAAFtXg/gnZ3GjH41qY/s1600/download.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yWDKCahWAYQ/U6vpFAfnd9I/AAAAAAAFtDg/oh_1t9rs2cI/s1600/IMG_0558.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-D4tJWYe28GS7FDXqNQqiIz42Pif3y7bi9H2sA5iJva1tCCypMXf5kdObQIkp-5eDMZBlKs2*sLkcdSd6UoEWPz/rose.jpg)
ROSE MUHANDO MGONJWA
Stori: Gladness Mallya
TUMUOMBEE! Hali ya kiafya ya staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando siyo nzuri na amewaomba Watanzania wamuombee kwani ni mgonjwa. Staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando. Akizungumza na gazeti hili katika mahojiano maalum katikati ya wiki hii, Rose ambaye ameripotiwa kwa misala tofauti ya kuchikichia fedha za shoo hivi karibuni, amefunguka kuwa afya yake si nzuri kwani anasumbuliwa na mshipa...
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0bLZe5X0aAduH2flM7GU2ZYCeWYYI42wLeKwvevOYtkbitj0as1iyA5XtSe9pBfceLfCw06M7--6X6EzL74TcB/Rose20.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AWEWESEKA
Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando. MWIMBAJI nyota wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando ambaye hivi karibuni alikanwa na aliyewahi kuwa meneja wake wa muda mrefu, Alex Msama, anadaiwa kuweweseka asijue la kufanya kufuatia hatua hiyo. Akizungumza kutoka Dodoma yalipo makazi ya mwimbaji huyo, mmoja wa watu wake wa karibu aliyeomba hifadhi ya jina lake, alisema hatua ya Msama kutangaza kutofanya naye kazi,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-d0OUy67UJkQxk*EAKpbyyQ05TptxP6dPBeEzBSIrLdiSx8Yy6oOYxaPPqPRzv54-Y5ZUwabBZAgvgK5ClpyFO/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO MBARONI!
Stori: Mwandishi Wetu
STAA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando yamemkuta ya kumkuta ambapo Ijumaa iliyopita alishikiliwa na Polisi wa Kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa madai ya kuingia mitini na shilingi milioni 6 alizolipwa kwa ajili ya kwenda kufanya shoo ya kiroho, Mombasa, Kenya Novemba 3, 2013 lakini hakutokea. Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Rose alidakwa jijini Dar es Salaam saa sita mchana huku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyneEt1H9KFGo-AqYTP*isHCNKsBt42Bv2Fcr5jhEGLzPELv4nijNYlbEtf0F5mx4qsg--36CvdolL6O5cmW0le/gwajima.jpg)
ROSE MUHANDO AMTAMANI GWAJIMA
Stori: Shani Ramadhan na Gabriel Ngosha NYOTA wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando amesema anatamani sana kuhamia kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima kutokana na mahubiri yake mazuri. Nyota wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando. “Natamani nihamie katika kanisa la Mchungaji Gwajima lakini mimi huwa napenda kumuita Askofu kwa sababu ya upako alionao, naomba ikiwezekana na mimi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jPrLLXuRuu4-6BttgPxw0YLIrusXviYjTSU7ymQCHT7S0K9Wz3yzrtfNekRyvPRfBXDdoZXCyHRtGcdF5DjINXfO1NQeAjqE/rose.jpg)
ROSE MUHANDO AFIKISHWA POLISI
Stori: Mayasa Mariwata na Makongoro Oging’
MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando anasakwa na Jeshi la Polisi Kituo cha Kijitonyama ‘Mabatini’ jijini Dar baada ya mchungaji mmoja wa Kinigeria anayefanya shughuli zake nchini DR Congo, Kabagambe Tchanda kumshitaki akidai kumlipa fedha ili akafanye onesho badala yake akaingia mitini. Mwanamuziki wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7akC0ASO4alw7656hkFzO*TgaHs-ldAkOryY8rve1N72GDWS0qIUZ2mImyIYrR86hdzxyn9gPemy7wiTFY5C01W/k.jpg)
ROSE MUHANDO KUTOA MIMBA
Stori: Waandishi Wetu/Risasi Mchanganyiko
KITENDO cha mwimbaji nyota wa muziki wa Injili, Rose Muhando (pichani) kudaiwa kutoa mimba yenye umri wa miezi saba, endapo kitathibitishwa na mamlaka zinazohusika, kinaweza kusababisha kupewa adhabu ya kifungo cha miaka 7 jela, Risasi Jumatano lina mkanda kamili. Mwimbaji nyota wa muziki wa Injili, Rose Muhando akiimba wakati akiwa mjamzito. Mwishoni mwa wiki iliyopita, ilidaiwa kuwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania