ROSE MUHANDO ALALAMIKIA WEZI WA KAZI ZA WASANII,KUACHIA ALBAMU YAKE HALISI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s72-c/rose-muhando-post.jpg)
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili, Rose Muhando amelalamika kuwa albamu yake ya Kamata Pindo la Yesu Albamu anayotarajia kuizindua Jumapili wiki hii imeingizwa mtaani na wezi wa kazi za wasanii, hivyo kuonya wananchi wawe makini kwani albamu yake halisi itatoka Jumapili. Taarifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa Muhando jana, ilieleza kuwa albamu yake halisi bado haijaingia mtaani na kwamba hiyo wanayoiona wananchi sasa ni bandia na mtu atakayewauzia wamripoti polisi. “Albamu ya Kamata Pindo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZS2ySQhN-jo/U9i2rqL9JqI/AAAAAAAF7z4/VOg7g5SJikU/s72-c/images.jpg)
ROSE MHANDO ALIZWA NA WEZI WALIOIBA ALBAMU YAKE MPYA KABLA HAJAITOA JUMAPILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZS2ySQhN-jo/U9i2rqL9JqI/AAAAAAAF7z4/VOg7g5SJikU/s1600/images.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yWDKCahWAYQ/U6vpFAfnd9I/AAAAAAAFtDg/oh_1t9rs2cI/s1600/IMG_0558.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Aug
SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kU_nNNZGyhU/U96izzb8JCI/AAAAAAACmxU/XSImIHff9Lo/s72-c/4.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU,MH.FREDERICK SUMAYE AZINDUA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-kU_nNNZGyhU/U96izzb8JCI/AAAAAAACmxU/XSImIHff9Lo/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--HoHOOmqozs/U96i1RNv5BI/AAAAAAACmxk/tQ2_sw-CYFM/s1600/5.jpg)
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Goodluck kuachia albamu yake leo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, leo anatarajia kukata kiu ya mashabiki wake kwa kuachia albamu ya kwanza inayoitwa ‘Ipo Siku’, mara baada ya kimya kirefu.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Goodluck alisema sababu zilizo nje ya uwezo wake zilifanya aicheleweshe albamu hiyo, lakini anatarajia atawafurahisha mashabiki wake kwa kutoa albamu yenye nyimbo zilizobeba ujumbe mzito kwa watu wote.
“Ni albamu nzuri kuisikiliza, ina nyimbo za kutia moyo kwa...
11 years ago
MichuziASKOFU SIXBERT PAUL WA KANISA LA VICTORIOUS KUTUNUKIA SHAHADA LA UDAKTARI YA HUDUMA JUMAPILI HII; ROSE MUHANDO NAYE KUPATA CHETI CHA HESHIMA CHA UIMBAJI
Na Mwandishi wetu, Moshi
CHUO kikuu cha Africa, African Graduate University, Chenye makao yake nchini, Sierra Leone kinatarajia kumtunuku shahada ya udaktari ya huduma,...
10 years ago
Dewji Blog01 Sep
Alex Msama atangaza vita na wezi wa kazi za wasanii, asema watasakwa popote walipo
Mkurugenzi wa kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam Bw. Alex Msama akimwaga furushi lililojaa CD na DVD feki za kazi mbaimbali za wasanii zinazorudufiwa kwa wizi na watu wasiokuwa waaminifu hivyo kupelekea hasara kubwa kwa wasanii, kwakuwa kazi hizo haziwaingizii kipato chochote zaidi ya kwanufaisha wezi hao, Kazi hizi zimekamatwa katika maeneo mbalimbali jijini Dar es salaam ikiwa ni pamoja na vifaa mbalimbali vinavyotumika kutengeneza kazi hizo katika msako huo. Thamani ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s72-c/IMG_5616.jpg)
WEZI WA KAZI ZA WASANII KUKIONA,KAMATA KAMATA YAANZA RASMI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zHUf-Q1ME7A/U-MK5IolFHI/AAAAAAACm8I/nqzn1mpKM2E/s1600/IMG_5616.jpg)
Mkurugenzi wa kampuni hiyo,Bwana Alex Msama amesema hayo jijini dar ,kuwa zoezi hilo limekwishaanza, na mpaka sasa wamekamatwa vijana wane katika mkoa wa Dodoma na watatu jijini Mwanza.
‘’Kuna kazi mbalimbali ambazo zinaibiwa kila kukicha huku wamiliki wa kazi hizo wakiendelea kushuka...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Muhando kuachia ‘Kung’uta Yesu’
MALKIA wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kuachia albamu mpya itakayojulikana kwa jina la ‘Kung’uta Yesu’. Nyimbo tano katika albamu hiyo amezirekodi nchini Afrika...