Goodluck kuachia albamu yake leo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, leo anatarajia kukata kiu ya mashabiki wake kwa kuachia albamu ya kwanza inayoitwa ‘Ipo Siku’, mara baada ya kimya kirefu.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Goodluck alisema sababu zilizo nje ya uwezo wake zilifanya aicheleweshe albamu hiyo, lakini anatarajia atawafurahisha mashabiki wake kwa kutoa albamu yenye nyimbo zilizobeba ujumbe mzito kwa watu wote.
“Ni albamu nzuri kuisikiliza, ina nyimbo za kutia moyo kwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s72-c/rose-muhando-post.jpg)
ROSE MUHANDO ALALAMIKIA WEZI WA KAZI ZA WASANII,KUACHIA ALBAMU YAKE HALISI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s1600/rose-muhando-post.jpg)
9 years ago
Mtanzania17 Oct
FRANK KIKUNGWE kuachia albamu kesho
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWANAMUZIKI wa muziki wa Injili nchini, Frank Kikungwe anatarajia kuachia albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Nimeuona Mkono wa Bwana’ kesho katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Kimara, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Swaggaz, Kikungwe alisema, albamu hiyo ina jumla ya nyimbo nane za kumsifu na kumuabudu Mungu ambazo zimejaa mafundisho katika maisha ya wanadamu.
“Baada ya misa ya kwanza kumalizika ndipo onyesho la uzinduzi litakapoanza, watu wote wanakaribishwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9kLC-MlEaDNtCdtSqssW70M8GTGtKZ2zFRExZNAMRiT6SU*KqPPp5Nr4pzf73I1o9tqL8DAXHRAj9Ph8o7yjIoK/Ngaiza.jpg)
MWIMBA INJILI ATEKWA AKISAMBAZA ALBAMU YAKE
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Ed O’Brien azindua Albamu yake kwa jina 'Earth'
10 years ago
MichuziBERDON MNYAMA KATIKA UZINDUZI WA ALBAMU YAKE ITWAYO JIONEE.
5 years ago
Bongo514 Feb
Barakah The Prince aeleza kuhusu ujio wa albamu yake mpya
Msanii wa muziki kutoka RockStar4000, Barakah The Prince amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwaajili ya ujio wa albamu yake ya kwanza.
Muimbaji huyo amesema albamu hiyo huwenda ikatoka katikati ya mwaka huu au mwisho wa mwaka kutegemea na maandalizi na uwamuzi wa label yake.
“Albamu yangu ya kwanza inatoka chini ya RockStar4000 na itatoka mwaka huu katikati au mwishoni,” Barakah The Prince alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV.
Alisema kila msanii wa label hiyo ana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tztDqFY5VK8/VEeqRqxpxqI/AAAAAAAGsqQ/YnYIRiiUYsk/s72-c/DSCF9964.jpg)
Mwanamuziki Tarsis Masela kuzindua albamu yake ya kwanza Novemba 21
![](http://3.bp.blogspot.com/-tztDqFY5VK8/VEeqRqxpxqI/AAAAAAAGsqQ/YnYIRiiUYsk/s1600/DSCF9964.jpg)
Akizungumza na wanahabari jijini dar leo Masela, ambaye pia ni mwanamuziki na Rais wa bendi ya Akudo, alisema kuwa albamu hiyo itakuwa na nyimbo saba na zina ujumbe mbalimbali ambao unalenga kuelimisha jamii.
Masela alizitaja nyimbo zilizoko katika albamu hiyo...
5 years ago
Bongo514 Feb
Muimbaji wa ‘Amarula’ amemtaja msanii wa Bongo atakayesikika kwenye albamu yake
Msanii Roberto kutoka Zambia amemtaja msanii wa Bongo Fleva, ambaye atasikika kwenye albamu yake mpya.
Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri kupitia wimbo wake wa Amarula, amemtaja msanii huyo kuwa ni Vanessa Mdee.
“Kuna nyimbo 12 kwenye albamu yangu mpya, pamoja na nyimbo mbili za ziada, hivyo jumla ni 14. Nimewashirikisha wasanii kama Patoranking (Nigeria), Vanessa Mdee (Tanzania), Dammy Krane (Nigeria), Jay Rox (Zambia), kundi la BrathaHood, General Ozzy, Mandela na Young Rico,”...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rGNTRGoknc4/default.jpg)