FRANK KIKUNGWE kuachia albamu kesho
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MWANAMUZIKI wa muziki wa Injili nchini, Frank Kikungwe anatarajia kuachia albamu yake ya kwanza inayoitwa ‘Nimeuona Mkono wa Bwana’ kesho katika Kanisa la KKKT, Usharika wa Kimara, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza na Swaggaz, Kikungwe alisema, albamu hiyo ina jumla ya nyimbo nane za kumsifu na kumuabudu Mungu ambazo zimejaa mafundisho katika maisha ya wanadamu.
“Baada ya misa ya kwanza kumalizika ndipo onyesho la uzinduzi litakapoanza, watu wote wanakaribishwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Dec
Goodluck kuachia albamu yake leo
NA CHRISTOPHER MSEKENA
NYOTA wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert, leo anatarajia kukata kiu ya mashabiki wake kwa kuachia albamu ya kwanza inayoitwa ‘Ipo Siku’, mara baada ya kimya kirefu.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Goodluck alisema sababu zilizo nje ya uwezo wake zilifanya aicheleweshe albamu hiyo, lakini anatarajia atawafurahisha mashabiki wake kwa kutoa albamu yenye nyimbo zilizobeba ujumbe mzito kwa watu wote.
“Ni albamu nzuri kuisikiliza, ina nyimbo za kutia moyo kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s72-c/rose-muhando-post.jpg)
ROSE MUHANDO ALALAMIKIA WEZI WA KAZI ZA WASANII,KUACHIA ALBAMU YAKE HALISI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s1600/rose-muhando-post.jpg)
11 years ago
GPLUZINDUZI WA ALBAMU KESHO: EXTRA BONGO WAAHIDI KUFUNIKA DAR LIVE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mG6jG6VLyzg/VEiAprYFCVI/AAAAAAAGs3U/UfOXQtqh-wE/s72-c/IMG-20141020-WA0010.jpg)
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA
9 years ago
Bongo524 Oct
Roma ajisalimisha BASATA kuwasikilizisha wimbo mpya aliopanga kuachia kesho siku ya uchaguzi Oct.25
10 years ago
Vijimambo![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s72-c/blogger-image-880205719.jpg)
DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.
![](https://lh3.googleusercontent.com/-JZ91ljyh71w/VF-kCddS14I/AAAAAAAARZo/5UT0rCGq3LU/s640/blogger-image-880205719.jpg)