Barakah The Prince aeleza kuhusu ujio wa albamu yake mpya
Msanii wa muziki kutoka RockStar4000, Barakah The Prince amewataka mashabiki wa muziki wake kukaa mkao wa kula kwaajili ya ujio wa albamu yake ya kwanza.
Muimbaji huyo amesema albamu hiyo huwenda ikatoka katikati ya mwaka huu au mwisho wa mwaka kutegemea na maandalizi na uwamuzi wa label yake.
“Albamu yangu ya kwanza inatoka chini ya RockStar4000 na itatoka mwaka huu katikati au mwishoni,” Barakah The Prince alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EATV.
Alisema kila msanii wa label hiyo ana...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania22 Oct
Barakah Da Prince kujenga maktaba
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Baraka Andrew ‘Barakah Da Prince’, ameamua kurudisha fadhila kwa kujenga maktaba ya kisasa, katika shule ya msingi aliyowahi kusoma inayoitwa Pamba iliyopo mkoani Mwanza.
Barakah alisema atatoa sehemu ya fedha zake zinazotokana na kazi yake ya muziki kwa ajili ya ujenzi wa maktaba hiyo na pia atafanya marekebisho madogo madogo kwenye majengo ya shule hiyo.
“Nimepata mafanikio kwenye muziki japo si mengi lakini nilichonacho nitakipeleka...
11 years ago
Michuzi19 Mar
introducing BARAKAH Da PRINCE na ' JICHUNGE'
10 years ago
Bongo519 Jan
New Music: Barakah Da Prince — Siachani Nawe
10 years ago
Bongo502 Jul
Music: Qstar Ft. Barakah da Prince — Nimekosa
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-7C_FMpAP6PM/VZ2OX56Z8mI/AAAAAAAATFo/ybvu_b6W_2Y/s400/298afe9b9e14da3f7504b03f89f57758-260-260.jpeg)
10 years ago
Bongo502 Feb
New Video: Barakah Da Prince — Siachani Nawe
10 years ago
Bongo502 Feb
Barakah Da Prince: Nimejipanga kuendelea kufanya vizuri