MASAI SAFARI BENDI KUZINDUA ALBUM AGOSTI 30, 2014 UKUMBI WA LUNCH TIME, DAR ES SALAAM
BENDI ya Masai Safari ya jijini Dar es salaam inatarajia kuzindua albam yake ya kwanza kabisa watakayozindua siku ya Agosti 30, mwaka huu katika ukumbi wa Lunch Time, Tip Top Manzese jijini Dar.Akizungumzia uzinduzi wa albam hiyo rais wa bendi hiyo Fransic Mwaisela amesema kwamba siku hiyo watasindikizwa na bendi mbalimbali wakiongozwa na bendi ya Extra bongo inayo ongozwa na Ali Choki.Alizitaja nyimbo zilizomo katika albam hiyo ni sita itakayozinduliwa siku hiyo ikiwa nyimbo ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSABASABA WINDHOEK LUNCH PARTY ILIVYOJUMUISHA WADAU WA VIP WAKITAIFA NA KIMATAIFA KATIKA UKUMBI WA DANKEN HOUSE MIKOCHENI JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gEu6X7oCZs/Vcr3wbhNTrI/AAAAAAAHwKE/Lp1wkp5TtO8/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yWDKCahWAYQ/U6vpFAfnd9I/AAAAAAAFtDg/oh_1t9rs2cI/s1600/IMG_0558.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Shirika la ndege la ETIHAD laendelea kukuza wigo wake Afrika Mashariki baada ya kuzindua huduma za safari za ndege kati ya Dar Es Salaam na Abu Dhabi
Ndege iliyozinduliwa na Shirika la Ndege la Etihad ilipowasili katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam na kupokelewa na magari ya zimamoto kwa kumwaga maji kuashiria uzinduzi rasmi wa Safari za ndege za shirika la ndege la Etihad lenye makao makuu Abudhabi. Uzinduzi huo unatoa fursa sasa kwa watanzania kusafiri moja kwa moja kutoka Dar es salaam mpaka Abudhabi kila siku.
Makamu wa Rais- Mauzo ya Kimataifa wa shirika la ndege la Etihad Bw. Daniel Barranger akisalimiana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XrfPS02Wyko/VG1et9cZV9I/AAAAAAAGyUw/iKhInmG8pbc/s72-c/kanga.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s72-c/68408-2.jpg)
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
10 years ago
VijimamboJUMA NATURE NA WENZAKE KUITEKA DAR ES SALAAM KATIKA TAMASHA LA KOMAA LITAKALOFANYIKA JUMAMOSI UKUMBI WA DAR LIVE MBAGALA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-JLBjwzslCZg/VaW-uVrpRNI/AAAAAAADx4s/DdMX3el9UW8/s72-c/STanzaniaEm15070919340%2B%25281%2529-page-001.jpg)