MADEE AMTAFUTA ALIYEMWAGA POMBE YAKE NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya kutoka Kundi la Tip Top Connection, Ahmad Ally 'Madee' akiwapagawisha mashabiki waliofurika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Madee akisema na mashabiki wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7SduGqFYK0FRZlpEjkLZWzEB8YsOmGIViwVWgfI3eT1k1XZ0DownxlUFej1GWv*7okyQtBZR4Ev4bsIysEtQIB/matumain.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014... ROMA, MADEE, NATURE KUONYESHANA UBABE TAIFA!
Na Nassor Gallu
LISTI ya mastaa inazidi kuongezeka kuelekea Tamasha la Usiku wa Matumaini, linalotarajiwa kufanyika Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo burudani kabambe kutoka kwa wakali wa muziki wa Bongo, Juma Nature, Madee, Roma Mkatoliki, Ali Kiba, Meninah na wengine kibao watadatisha mashabiki na kuacha historia katika burudani. Mkali wa Muziki wa Hip Hop Bongo Roma Mkatoriki. Roma atakuwa wa...
11 years ago
GPLMAKAMUZI YA SHILOLE NDANI YA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo. Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.…
11 years ago
Michuzi09 Aug
MAKAMU WA RAIS DK. BILAL NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Makamu wa Rais wa Tanzania, Mohamed Ghalib Bilal amelipongeza wazo la Tamasha la Usiku wa Matumaini lililoandaliwa na Kampuni ya Global Publishers, jana kuwa ni zuri.
Alimpongeza Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo kwa kuandaa tamasha hilo kwani linaunganisha Watanzania wote.
Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Ghalib Bilal akitoa hotuba.
Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini...
Alimpongeza Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo kwa kuandaa tamasha hilo kwani linaunganisha Watanzania wote.
11 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS DK. GHARIB BILAL NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014
Mgeni rasmi katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Makamu wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal akitoa hotuba fupi. Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd ambao ndiyo waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014, Eric Shigongo naye akitoa neno la…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CrhWs4hARiBgbbr9vPCgs6p2RbJKZnEfiCoAZtRE-ZjdB88KrjXjl9jFU2g1KmBDf3qOIF*X8gUbSt-NMqcpjTv/YemiAlade2.jpg?width=650)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014: STAA WA JOHNNY... EEE! KUTOKA NIGERIA NAYE NDANI
Yemi Alade. IM looking for my Johnny
Where is my Johnny...
Johnny oooh
Do you know Johnny...question Kiitikio hicho ndiyo habari ya mjini kwa sasa na good news ni kwamba staa wa wimbo huo, Yemi Alade wa Nigeria anadondoka Bongo kwa mara ya kwanza kuungana na listi ndefu ya wasanii wa nyumbani kulipamba Tamasha la Usiku wa Matumaini, Agosti 8, mwaka huu… ...
11 years ago
GPL16 Jul
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
GPL28 Jul
MENINNAH: NJOONI TUFURAHI PAMOJA NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI
Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Meninnah naye ni miongoni mwa mastaa watakaotoa burudani katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014. Staa huyo anawaalika watu wote kuhudhuria kwa wingi katika tamasha hilo litakalofanyika Agosti 8, 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar ili waweze kufurahi pamoja naye.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8bD62HksPjRPGZm-6CiUTUhnJw1TB1WqUbPMM4LwyHSyk4PVh1sL5n6TFsK8C41P506-54XBimYQyZqgrfxCtem2eWuB9Aa/FRONTJUMAMOSI111111.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 FULL MSISIMKO
TAMASHA la Usiku wa Matumaini, Dar (Dar Night of Hope 2014) lililofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar lilikuwa ni full msisimko kutokana na matukio mbalimbali yaliyofanyika. Mgeni rasmi Dk.Mohamed Ghalib Bilal akikagua timu ya wabunge wa Simba. Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania