Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda

Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda pamoja na mwanahabari mmoja wamekamatwa kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la upinzani pamoja na kushirikiana na waasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Mwanamuziki maarufu wa Rwanda afungwa miaka 10 jela kwa kupanga njama dhidi ya Rais Kagame

Mahakama ya Rwanda Ijumaa iliyopita ilimhukumu mwanamuziki maarufu wa nchini humo, Kizito Mihigo kifungo cha miaka 10 jela kwa kosa la kupanga njama dhidi ya serikali ya Rais Paul Kagame. Kizito Mihigo Mihigo alipatikana na hatia ya kuanzisha kundi la kihalifu na njama ya kutekeleza mauaji japo jaji alitupilia mbali makosa ya kuhusika kwenye vitendo […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo

Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanasiasa maarufu akamatwa N. Ireland

Polisi huko Ireland Kazkazini wamemkamata mwanasiasa mashuhuri wa chama cha Sinn Fein,Gerry Adams kwa mauaji .

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Maarufu wa Tanzania aacha muziki kutokana na msongo wa mawazo

Vanessa mdee ni miongoni mwa wanamuziki maarufu wa kike nchini Tanzania na barani Afrika.

 

11 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI MAARUFU WA MAREKANI AKONI AMTEMBELEA RAIS WA KENYA UHURU KENYATA

Uhuru Kenyatta"Today, I held a meeting with U.S -based Senegalese musician, Akon, who paid me a courtesy call at State House, Nairobi. Akon affirmed his commitment to light up Kibera and other selected parts of rural Kenya. The initiative is part of his Lighting Africa project that aims to provide electricity to a million households across the continent by the end of the year. It is good to see that discussions on scaling up supply of power to Kenyans that we started during last month’s U.S...

 

5 years ago

Michuzi

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Msanii gwiji wa muziki wa Country nchini Marekani Kenny Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.

Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".

Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.

Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Ken Rogers aliyefahamika kwa wimbo kama vile The Gambler, "ameacha historia siyoweza kufutika " katika muziki, imesema familia yake.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya msanii maarufu wa Rwanda Kiziko Mihigo yafanyika

Msanii maarufu wa nyimbo za injili nchini Rwanda Kizito Mihigo ambaye aliripotiwa kujiua Jumatatu katika mahabusu ya polisi mjini Kigali nchini Rwanda anazikwa leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani