Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuziki Maarufu wa Tanzania aacha muziki kutokana na msongo wa mawazo

Vanessa mdee ni miongoni mwa wanamuziki maarufu wa kike nchini Tanzania na barani Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Msanii gwiji wa muziki wa Country nchini Marekani Kenny Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.

Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".

Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.

Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Ken Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Ken Rogers aliyefahamika kwa wimbo kama vile The Gambler, "ameacha historia siyoweza kufutika " katika muziki, imesema familia yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msongo wa mawazo,majonzi na kilio

Hapa ndipo homa kali ya Ebola ilipowafikisha wakazi wa mataifa ya Afrika Magharibi

 

10 years ago

BBCSwahili

Hamilton akumbwa na msongo wa mawazo

Bosi wa timu ya Mercedes Toto Wolff ametanabaisha kuwa dereva wa timu hiyo Lewis Hamilton ataerejea katika hali yake baada ya kupoteza mchezo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mfumo umeongeza msongo wa mawazo’

TAASISI inayopigania haki na mahitaji ya msingi ya wenye tatizo la afya ya akili imesema magonjwa ya akili yanachangia asilimia 13 katika kukosesha ufanisi wa maisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Bupropion dawa ya kupunguza msongo wa mawazo

Bupropion ni dawa inayotumika kupunguza msongo wa mawazo. Dawa hii pia hutumika kusaidia watu wanaotaka kuacha kuvuta sigara.

 

10 years ago

Mwananchi

Phiri: Simba wana msongo wa mawazo

Wakati kocha wa Simba, Patrick Phiri akisema wachezaji wake wengi wameathirika kisaikolojia kutokana na matokeo yasiyoridhisha, mshambuliaji wake, Amissi Tambwe ametishia kuondoka.

 

10 years ago

Bongo Movies

Wema, Wolper Walewa Chakari!,Kisa Msongo wa Mawazo

Mastaa warembo kutoka Bongo Movies,  Wema Isaac Sepetu na Jacqueline Wolper Massawe, wamejikuta wakipiga ulabu hadi kulewa chakari, kisa kikielezwa kwamba wana msongo wa mawazo.

Gazeti la Risasi la jana, limeripoti kuwa tukio hilo lilijiri hivi karibuni, usiku mnene kwenye pati ya kuzaliwa (birthday) ya meneja wa kampuni ya Wema ya Endless Fame almaarufu Petit Man iliyofanyika kwenye nyumba ya jamaa mmoja maeneo ya Kinondoni-Manyanya jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
Katika pati...

 

11 years ago

Mwananchi

Msongo wa mawazo, vifo kwa vijana chanzo ni kukosa ajira

Vijana wanatajwa kuwa ni chachu ya maendeleo na nguzo kubwa katika mapinduzi ya kiuchumi kwa taifa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani