Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
Abigail Chamungwana anasoma masomo ya sayansi yaani Fizikia, Kemia, Baiolojia na Hesabu kwa sababu mbali na kuwa mwanamuziki anataka kuwa Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa watoto.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Daktari bingwa wa upasuaji aliyepooza viungo
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Mbunge mwanamke mwenye umri mdogo Tanzania
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
MADAKTARI BINGWA WA MOYO TOKA INDIA, WANATARIJIWA KUPAMBANA NA UGONJWA WA MOYO WA KUZALIWA KWA WATOTO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,KUTOKEA kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki.
Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.
Watoto wenye...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s72-c/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
DAKTARI BINGWA WA UPASUAJI WA KITANZANIA ATAMBULIWA NA JARIDA KUBWA LA FANI HIYO DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s1600/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Rais Kikwete wapngeza Madktari Bingwa wa Moyo kwa upasuaji
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lc69XoeI48A/VVTG_9hDWvI/AAAAAAAHXUk/UOaEl3cBrLA/s640/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FV8uC0-QXc8/VVTG_6BpyYI/AAAAAAAHXUo/IMFxXYYyuhw/s640/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 May
Rais Jakaya Kikwete awapongeza Madaktari bingwa wa Moyo kwa upasuaji
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na kisha kupiga picha ya pamoja na madaktari wa Shirika lisilo la kiserikali la Al Muntada lenye makao yake makuu jijini London Uingereza wanaoendesha zoezi la upasuaji na tiba ya moyo kwa zaidi ya watoto 70 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam jana. (Picha na Freddy Maro).