DAKTARI BINGWA WA UPASUAJI WA KITANZANIA ATAMBULIWA NA JARIDA KUBWA LA FANI HIYO DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s72-c/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
Dkt. Amosy Ephreim M'Koma, Mtanzania, Bingwa katika fani ya Upasuaji (Colon and Rectal Surgery). ametambuliwa na Jarida kubwa la watalaam mabingwa wa upasuaji duniani la "World Journal of Surgical Procedures" kutokana na shughuli zake za utafiti (Surgical Sciences) katika Chuo Kikuu cha Vanderbilt University huko North Nashville, Tenesee. Dkt. M'Koma amekuwa taarifa kuu katik toleo la sasa la Jarida hilo (BOFYA HAPA) lenye bodi ya wahariri 275 ambao wote ni mabingwa wa upasuaji toka sehemu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Daktari bingwa wa upasuaji aliyepooza viungo
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Askari 482 wa Jeshi la Zimamoto wahitimu mafunzo ya awali ya fani hiyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-m6MQB_x9B2g/VmrpzZWBe6I/AAAAAAAAFsU/1eVexJypV9c/s640/IMG_9136.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovSMwDKjPac/VmrpxWhfzKI/AAAAAAAAFsI/jyODFy8oEQ4/s640/IMG_9131.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Daktari atumia pampu kufanya upasuaji
11 years ago
Michuzi17 Apr
Daktari Bingwa at Work
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Virusi: ‘Vijidudu’ vidogo vinavyotikisa fani ya tiba duniani
11 years ago
Mwananchi12 May
Daktari bingwa afa kwa dengue
11 years ago
Habarileo10 Jan
Mwanafunzi wa Tusiime aota kuwa daktari bingwa
MWANAFUNZI Hussein Hemed Hussein aliyeongoza kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka jana kwa kupata alama 243 wa Shule ya Msingi Tusiime ya Tabata jijini Dar es Salaam , amesema ndoto yake kuwa daktari bingwa.
11 years ago
Habarileo08 Jul
Hospitali ya mkoa ina daktari bingwa mmoja
HOSPITALI ya Rufaa ya mkoa wa Kagera inakabiliwa na upungufu wa madaktari bingwa saba, hali inayotajwa kuchangia huduma kusuasua hivyo kuongezeka kwa malalamiko kutoka kwa wagonjwa.