Virusi: ‘Vijidudu’ vidogo vinavyotikisa fani ya tiba duniani
Virusi ni vijidudu vidogo sana kiasi kwamba huingia karibu mara 100 katika seli moja ya mwili wa binadamu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili09 Apr
Virusi vya corona: Ni nani aliyetoa fursa ya kwanza ya chanjo ya tiba duniani?
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZJG-jMYT2_g/Xn7k78Fk2gI/AAAAAAALlWg/lHJ-IoXwSTMMcUUhJhEELU6iKlKrPEPqQCLcBGAsYHQ/s72-c/0335e4ed-ca65-407b-a452-afedd86344fc.jpg)
ARUSHA YAZINDUA ZOAEZI LA KUPULIZA DAWA KUUWA VIJIDUDU NA KUWAKINGA ABIRIA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
Na Jusline Marco;Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro amezindua zoezi la upulizaji wa dawa ya kuuwa vijidudu kwa lengo la kuwakinga abiria na maambukizi ya virusi vya Corona pindi wanapotumia vyombo vya usafiri.
Zoezi hilo limezinduliwa leo rasmi kwa mabasi yanayotoka Jiji la Arusha kuelekea mikoa mingine , pamoja na vyombo vingine vya usafiri wa umma vinavyotumika katika safari za ndani ya Jiji la Arusha.
Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa...
5 years ago
BBCSwahili25 Jun
Virusi vya corona: Maji ya chumvi kufanyiwa utafiti wa tiba ya virusi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B-pyvF1FWrs/VA7NQRaSoQI/AAAAAAAGiNU/97u3lEbyqVw/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAZIRI NAGU ATEMBELEA KIWANDA KINACHOTENGENEZA MITAMBO YA VIWANDA VIDOGO VIDOGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-B-pyvF1FWrs/VA7NQRaSoQI/AAAAAAAGiNU/97u3lEbyqVw/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Amuua mama mzazi na kukata mwili vipande vidogo vidogo
NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Erasto Lwiza (27) amemuua mama yake mzazi, Magreth Lwiza (50), kwa kumkatakata mapanga mwili wake na kuugawa vipande vidogo vidogo.
Tukio hilo limetokea juzi Mtaa wa Butiama, eneo la Vingunguti, ambapo mtuhumiwa ambaye ni marehemu kwa sasa alitekeleza unyama huo kabla hajauawa.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, kabla marehemu Erasto hajamuua mama yake alianza kumshambulia kwa visu na mapanga mwanamke aliyetambuliwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s72-c/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
DAKTARI BINGWA WA UPASUAJI WA KITANZANIA ATAMBULIWA NA JARIDA KUBWA LA FANI HIYO DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s1600/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
9 years ago
MichuziSERIKALI YAHIMIZA UJENZI WA VIWANDA VIDOGO VIDOGO NCHINI
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Seleman Jaffo alitoa kauli hiyo tarehe 22 Decemba, 2015 wakati alipotembelea taasisi zilizo chini ya Wizara yake ambazo LAPF, na Bodi ya Mikopo ya...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mkuu wa Mkoa wa Arusha awataka wajasiriamali wa viwanda vidogo vidogo kutengeneze bidhaa zenye ubora
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.