ARUSHA YAZINDUA ZOAEZI LA KUPULIZA DAWA KUUWA VIJIDUDU NA KUWAKINGA ABIRIA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZJG-jMYT2_g/Xn7k78Fk2gI/AAAAAAALlWg/lHJ-IoXwSTMMcUUhJhEELU6iKlKrPEPqQCLcBGAsYHQ/s72-c/0335e4ed-ca65-407b-a452-afedd86344fc.jpg)
Na Jusline Marco;Arusha
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro amezindua zoezi la upulizaji wa dawa ya kuuwa vijidudu kwa lengo la kuwakinga abiria na maambukizi ya virusi vya Corona pindi wanapotumia vyombo vya usafiri.
Zoezi hilo limezinduliwa leo rasmi kwa mabasi yanayotoka Jiji la Arusha kuelekea mikoa mingine , pamoja na vyombo vingine vya usafiri wa umma vinavyotumika katika safari za ndani ya Jiji la Arusha.
Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z5JI1NefIDY/XoY6i4N4PKI/AAAAAAALl4g/Y8bV64ciycoyhsvvMC1scempOjPsY1pLgCLcBGAsYHQ/s72-c/8dbb392a-9d26-45fb-bb1f-59bcf9a2fdbc.jpg)
Manispaa ya Ubungo yachukua tahadhari ya Virusi vya Corona kwa kupuliza dawa maeneo mbalimbali
Manispaa ya Ubungo imesema kuwa iko katika mkakati wa upuliziaji dawa katika maeneo ya mbalimbali ikiwemo na sehemu za huduma za kijamii.
Akizungumza na Michuzi TV Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic Swai amesema kuwa mkakati huo ni kuchukua tahadhari ya kujikinga na Virusi vya Corona.
Swai amesema kuwa katika kipindi chote hiki wananchi wazinagatie usafi wa kunawa mikono katika sehemu za huduma za Jamii kwani vifaa wameweka wameweka.
Amesema ...
5 years ago
MichuziTUNAANZA RASMI ZOEZI LA KUPULIZA DAWA YA KUUA WADUDU NA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA KESHO-RC MAKONDA
RC Makonda amesema kwa kufanya hivyo itasaidia pia kuua Vimelea na Wadudu kama Mbu wanaoenzeza ugonjwa wa Malaria, homa ya dengu na magonjwa mengineyo na kufanya jiji hilo kuwa katika hali nzuri...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-9mBmAgEU44M/Xn8dTREj-gI/AAAAAAAC17w/xTWcvu_j3686Q5OqvJxc4Uyfkt1h9XM_ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
ARUSHA YAZINDUA ZOEZI LA KUPULIZIA DAWA MABASI YA ABIRIA ILI KUKAPILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9mBmAgEU44M/Xn8dTREj-gI/AAAAAAAC17w/xTWcvu_j3686Q5OqvJxc4Uyfkt1h9XM_ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Shughuli ya kuyapulizia dawa imeanza jana Ijumaa Machi 27,2020 na kuongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Fabian Daqarro.
Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa utakuwa endelevu na utashirikisha wadau ambao tayari wameanza kutoa michago yao kuwezesha zoezi hilo.
Aidha Daqarro amewataka wananchi kutokuwa na taharuki na...
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili03 May
Virusi vya corona: Je, Madagascar wamepata dawa ya mitishamba kutibu virusi vya corona?
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'
5 years ago
BBCSwahili28 Mar
Coronavirus: Je joto kali linaweza kuuwa virusi vya corona
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Je maambukizi ya mwisho ya virusi hivyo yatafanyika wapi?