Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coronavirus: Je joto kali linaweza kuuwa virusi vya corona

Magonjwa mengi ya maambukizi hutokea wakati tofauti katika mwaka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la corona likoje na linaweza kutokea vipi?

Virusi vya corona havitaisha hivi karibuni. Baadhi ya nchi bado zinashughulikia mlipuko mkubwa, lakini hata zile ambazo zimeweza kudhibiti virusi zinahofia "wimbi la pili"

 

5 years ago

Michuzi

ARUSHA YAZINDUA ZOAEZI LA KUPULIZA DAWA KUUWA VIJIDUDU NA KUWAKINGA ABIRIA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA


Na Jusline Marco;Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Gabriel Daqarro amezindua zoezi la upulizaji wa dawa ya kuuwa vijidudu kwa lengo la kuwakinga abiria na maambukizi ya virusi vya Corona pindi wanapotumia vyombo vya usafiri.

Zoezi hilo limezinduliwa leo rasmi kwa mabasi yanayotoka Jiji la Arusha kuelekea mikoa mingine , pamoja na vyombo vingine vya usafiri wa umma vinavyotumika katika safari za ndani ya Jiji la Arusha.

Mhe.Gabriel Daqaro amesema kuwa operesheni hiyo ya upulizaji wa dawa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona

New York imetoa wito kwa serikali kutuma vifaa zaidi vya kupima virusi vya corona katika jimbo hilo huku visa vya maambukizi vikiongezeka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku

Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono

Utafiti wa virusi vya Covid-19 ulikadiria kwamba kiwango kikuu cha maambukizi ya virusi hivyo hutokea siku moja au mbili kabla ya mtu aliyeambukizwa kuanza kuonyesha dalili.

 

5 years ago

CCM Blog

KATA YA KIVUKONI CCM YAKABIDHI VIFAA NA SABUNI KUJILINDA NA UGONJWA WA HOMA KALI YA MAPAFU YANAYOSABABISHWA NA VIRUSI VYA CORONA

Mwekiti wa CCM kata ya kivukoni Sharik  Choughule (wa katikati) akiwa na viongozi wa Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kivukoni, kukabidhi vifaa na sabuni kwa ajili kuosha mikono kujilinda na ugonjwa wa homa kali ya mapafu  unaosababishwa na virusi vya corona, ambapo tuliwapa madereva wa bajaji walemavu wa kituo cha feri.
Mwekiti wa CCM kata ya kivukoni Sharik  Choughule (wa pili kushoto) akiwa na viongozi wenzake kutoka Ofisa ya Mtendaji wa Kata ya Kivukoni, Remmy Mishekhe na Ofisa Afya Kata ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Je vipimo vya kugundua virusi vya corona vinafanya kazi vipi?

Vipimo vya kugundua virusi vya corona ni vipi na vinafanyakazi namna gani?

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanafunzi Kenya watengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

Virusi vya corona: Wanafunzi wa Kenya wanaotengeneza vifaa vya kukabiliana na virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani