Daktari atumia pampu kufanya upasuaji
Jimbo moja nchini India limesitisha shughuli za upasuaji baada ya daktari mmoja kupatikana akitumia pampu ya kutia hewa baiskeli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Daktari bingwa wa upasuaji aliyepooza viungo
>Watu wengi hususani katika jamii za Kiafrika wamekuwa na mtazamo kuwa mtu mwenye ulemavu hawezi kufanya kitu chochote, ambacho kinaweza kuwa na manufaa katika jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s72-c/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
DAKTARI BINGWA WA UPASUAJI WA KITANZANIA ATAMBULIWA NA JARIDA KUBWA LA FANI HIYO DUNIANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-YxEg8LhcKds/VRb6ABfO4zI/AAAAAAAHN54/gH6h4xwntqU/s1600/Screenshot%2B2015-03-28%2B21.48.10.png)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto
Abigail Chamungwana anasoma masomo ya sayansi yaani Fizikia, Kemia, Baiolojia na Hesabu kwa sababu mbali na kuwa mwanamuziki anataka kuwa Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa watoto.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jh6d8nbQ5Z8/VOl0bW9W6eI/AAAAAAAHFEY/2W0WeiijJ7k/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
Mbunge wa Mvomero,Mh. Amos Makalla atumia bodaboda kufanya ziara jimboni kwake
Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla jana alifanya ziara katika Jimbo lake hilo kwa kutumia usafiri wa pikipiki kufika kitongoji cha Ifumbo kilicho kilomita 20 toka kijiji cha Mvomero ambacho kwa historia hakijawahi kufikiwa na kiongozi yeyote tangu uhuru.
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
Mbunge huyo ambaye amesifika na kuweka rekodi ya kutembelea vijiji vyote 130 vya Jimbo lake hilo,aliona umuhimu kuwafikia wananchi na wana CCM wa Ifumbo kwa njia ya pikipiki ili ajionee changamoto na kuchukua...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qvo8aqQxejO0ZU8nPTxX9iUsLlX63Q97XBVD1ySz1etRowcaFF5WNfUA2oLn2fCPjZNLS12x*T4vgCZi5y17Go7/unnamed6.jpg?width=650)
MBUNGE WA MVOMERO, MH. AMOS MAKALLA ATUMIA BODABODA KUFANYA ZIARA JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla akiwa amepakiwa kwenye pikipiki (Bodaboda) wakati akielekea kwenye kitongoji cha Ifumbo kilicho kilomita 20 toka kijiji cha Mvomero. Msafara wa Mbunge wa Jimbo la Mvomero na Naibu Waziri wa Maji,Mh. Amos Makalla kuelekea kitongoji cha…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NM4FtoB0o6QB8R-zeG54Kzc3c8mKm9tj1uRGhFAmgLHi4ZRBkxXuV1H1Zo*NcQtNdgIw6oG1PXZlTuMiR2MWw-W/unnamed41.jpg?width=650)
TANZANIA KUTIBU MARADHI YA MOYO BILA KUFANYA UPASUAJI
Baadhi ya Waandishi wa habari wakifanya kazi yao na kuelekezwa namna (Cath Lab) mtambo wa kufanya uchunguzi na kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo na pia kuziba matundu ndani ya moyo bila kufungua kifua. Katikati ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Dkt. Hussein Kidanto akizungumza na waandishi wa habari. Kushoto ni Prof. Jameel Alata ambaye ni Daktari Mwelekezi wa Magonjwa ya Watoto...
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Hospitali ya Bugando sasa mbioni kufanya upasuaji wa moyo
Hospitali ya Rufaa Bugando (BMC), mkoani Mwanza imeanza kufanya upasuaji mkubwa kwa wagonjwa wa moyo.
9 years ago
MichuziMABALOZI WAIPONGEZA TAASISI YA JKCI KWA KUFANYA UPASUAJI WA MOYO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mClk6LlNRyuTmr9I3WZKJR*EFNxdVdyD61ko9R7iZJc9Z3GfLNNEJA7kAREWA0DAZnzMdHEhD7e0SHqUbf*8g1pKl6ofmBKj/Fibroids.jpg?width=650)
ZITAMBUE VIMBE MBALIMBALI KATIKA MWILI WA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO KUFANYA UPASUAJI
Wiki iliyopita tulizitazama aina za vimbe, tuliishia katika kipengele cha pili kilichosema:
Fibroids au Mayoma:Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama; Hapa mwanamke hupatwa na maumivu chini ya kitovu lakini ni katikati siyo upande wa kulia wala upande wa kushoto na mara nyingi maumivu haya huambatana na maumivu ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania