Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GLOBAL TV ONLINE: CCM YAWAASA WANANCHI KUKATAA USHAWISHI WA KUFANYA VURUGU

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BOZI AHOJIWA NA GLOBAL TV ONLINE, ASIKITISHWA NA ALLY NIPISHE KUKATAA GARI LAKE

Fatuma Ayubu `Bozi’ katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. MSANII wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu `Bozi’ leo amehojiwa na Global TV Online ambapo ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha msanii wa Bongo Fleva, Ally Salumu `Ally Nipishe’ kukataa gari alilotaka kumnunulia. Bozi amefunguka hayo wakati akihojiwa katika Exclusive… ...

 

9 years ago

Global Publishers

Jennifer Mgendi atembelea Global TV Online na kufanya mahojiano

Jenipher Mgendi (1)

Mwimbaji Injili, Jennifer Mgendi akiwa ndani ya studio za Global TV Online leo wakati akifanyiwa mahojiano 

Jenipher Mgendi (2)

Jennifer Mgendi akisikiliza baadhi ya maswali kutoka Global TV Online.

Jenipher Mgendi (3)

Jennifer akizidi kufanya mahojiano ndani ya Global TV Online leo.

Jenipher Mgendi (4)

Jennifer Mgendi akiwa na John Joseph ambaye ni Mhariri wa Gazeti la Championi Ijumaa.

Jenipher Mgendi (5)

Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul akipozi na Jennifer.

Jenipher Mgendi (6)

Jennifer akiwa na Mwnadishi wa Championi, Nicodemus.

Jenipher Mgendi (7)

Jennifer akiwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda ataka waumini nchini kukataa vurugu

Waziri Mkuu, Mizengo PindaWAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, amewataka Watanzania na waumini wa madhehebu ya dini zote kutokubali kuiingiza nchi katika vurugu na kukataa vishawishi vitakavyosababisha uvunjifu wa amani.

 

11 years ago

GPL

TMA YAWAASA WANANCHI KUTOPUUZA TAHADHARI ZITOLEWAZO

Mkurugenzi wa ofisiya Zanzibar, Bw Mohamed Ngwaliakitoa maelezo ya takwimuza hali mbaya yahe wailiyowahi kutokea kwa kipindi cha miaka 50 katika visiwa vya Unguja na Pemba, akisisitiza wananchi kutopuuza tahadhari zitolewazo.
Ofisa Uhusianowa TMABi.Monica Mutoni akitoa elimu kwa umma jinsi ya kupata taarifa za hali yahe wakupitia njia mbalimbali za usambazaji wataarifa hizo kwenye maonesho ya maadhimisho yamiaka 50 ya...

 

9 years ago

Bongo5

Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.

Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.

Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.

“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...

 

9 years ago

Michuzi

TUME YAWAASA WANANCHI KUTOSIMAMA KATIKA VITUO VYA KUPIGIA KURA

Na Anitha Jonas- Maelezo7/10/2015Dar es salaamTume ya Taifa ya uchaguzi nchini amewaasa wananchi kutosimama katika vituo vya kupiga kura mara baada ya kupiga kura oktoba 25 mwaka huu kwani mawakala wa vyama vya siasa wa kuwepo katika vituo vya kupigia kura ili kulinda maslahi ya chama pamoja na wagombea wao.
Wito huo umetolewa na  Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva alipokuwa akifungua mkutano wa tume  na waratibu wa uchaguzi wa mikoa, wasimamizi wa uchaguzi na makamanda...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yawaasa wanachama na makundi

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Rojas Lomuli amewataka viongozi wa chama hicho kuepuka kujiingiza katika makundi ndani ya chama katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani