CCM yawaasa wanachama na makundi
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Rojas Lomuli amewataka viongozi wa chama hicho kuepuka kujiingiza katika makundi ndani ya chama katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3tNWGRM2Mqg/Xkqf6fD1X6I/AAAAAAALdv0/u_-POg4KbAcwWpZipGU0FUAdfgVc-a92ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200217_112050.jpg)
WANACHAMA WA CCM WATAKIWA KUVUNJA MAKUNDI
Wanachama Wa chama cha mapinduzi nchini wametakiwa kuondoa tofauti zao na kivunja makundi haswa katika kipindi hichi wanapoelekea katika uchaguzi Mkuu ili kukiwezesha chama hicho kupita kwa kishindo.
Hayo yamebainishwa na mjumbe wa kamati kuu CCM Taifa ambaye pia ni Mwenyekiti Wa jumuiya ya wazazi Edmund Mndolwa alipokuwa akiongea na viongozi Wa chama hicho mkoani Arusha Jana (Leo)kabla ya kuanza ziara ya siku tano ya kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa...
9 years ago
GPL16 Sep
10 years ago
Habarileo23 Apr
Mangula akerwa na makundi CCM
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wametakiwa kuvunja makundi, yanayowagawa ili kukinusuru chama hicho kiweze kujipanga vyema katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Makundi ya Urais yaivuruga CCM
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
CCM imeshindwa kuyadhibiti makundi?
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) sasa kimekuwa kama familia ya kambale. Wote wana sharubu bila kujali ni baba, mama au hata mtoto. Tulishaandika sana, hii si ile CCM tuliyoifahamu. Sijawahi kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n06lITZYOLA/U5cHe-2Z6MI/AAAAAAAAGc8/R7bU-qjuuQk/s72-c/WP_20140609_002.jpg)
MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM (TAIFA) AWAAPISHA WANACHAMA 367 WAPYA WA CCM WILAYA YA NYASA MKOANI RUVUMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n06lITZYOLA/U5cHe-2Z6MI/AAAAAAAAGc8/R7bU-qjuuQk/s1600/WP_20140609_002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KdnxJ1aW1n0/U5cI8AVOS6I/AAAAAAAAGeM/-12aGh-7FhU/s1600/WP_20140609_061.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dq_xphw_C8g/U5cHYdx-vxI/AAAAAAAAGc0/1Q3GNwFdZxA/s1600/WP_20140609_010.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mg*jbBz8YUnp9mdcnPZOrMe6kDPQNvTsTIrlg5Q3p1xIIFYx5UgYWUozbZnVp29D6KBRpd0HOfHUsT6EOxTYHzv/MAGUFULI.jpg)
HILI LA MAKUNDI CCM, MAGUFULI AMEMALIZA!
11 years ago
Habarileo04 Jan
Kigoda ataka CCM kumaliza makundi
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wanachama wa chama hicho kumaliza makundi na tofauti zao, kabla ya uchaguzi mkuu ujao ili chama kiweze kuendelea kushika dola daima, na wala kisije kuwa chama cha upinzani.
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Makundi matatu ya wagombea urais CCM
KAMA ilivyokuwa katika makala zangu kadhaa zilizopita, wiki hii ninaendelea na mjadala kuhusu Uch
Evarist Chahali