Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makundi matatu ya wagombea urais CCM

KAMA ilivyokuwa katika makala zangu kadhaa zilizopita, wiki hii ninaendelea na mjadala kuhusu Uch

Evarist Chahali

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya Urais yaivuruga CCM

 Makundi ya Urais wa 2015 yanaendelea kuivuruga CCM baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Mgana Msindai kuibuka na kusema atamburuta mahakamani Mwenyekiti mwenzake wa Mkoa wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma’ asipomwomba radhi kwa kumchafua kwa kumwita mpuuzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho asisimua makundi ya urais CCM

MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM kuyagwaya au kuyavaa makundi yake ya urais?

>Nini hatima ya Chama Cha Mapinduzi wakati huu tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015? Swali hili ndilo linalotawala vichwani mwa watu wengi – wafuasi wa CCM, viongozi wake na hata wapinzani wa chama hicho.

 

10 years ago

Mwananchi

Makundi ya urais CCM yaitafuna jumuiya ya wanafunzi wa vyuo

Mbio za urais 2015 zinaendelea kushika kasi. Wanasiasa wanapigana vikumbo kutafuta kuungwa mkono na vyama vyao kwa nia ya kuendelea kushika dola kwa wale waliopo madarakani na waliopo nje wakijaribu kujiimarisha kwa kujiongezea wafuasi ili waweze kupata ridhaa ya kuongoza.

 

11 years ago

GPL

MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO

Magonjwa ya kuambukizana kupitia kufanya ngono yaani kwa  Kiingereza  yanaitwa  Sexually Transmitted Infections (STI) yamegawanyika katika makundi matatu. Maambukizo hutokea pale majimaji ya mwili kama vile mate, damu, manii, majimaji ya ukeni na kadhalika ya mtu ambaye tayari ameambukizwa, yatatangamana na ya mtu ambaye hajaambukizwa.
Kuna  aina nyingi ya magonjwa hayo ya STI  na yamegawanywa katika makundi...

 

11 years ago

GPL

MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO-2

TUNAENDELEA kuwafafanulia kuhusu makundi matatu ya magonjwa yatokanayo na kujamiiana yaani ngono ambayo tulianza kuyachambua wiki iliyopita. Endelea. Wapo wanawake wanaopata magonjwa hayo kutokana na kubakwa au utumiaji wa madawa ya kulevya au pombe ambayo husababisha kukosa ufahamu na hivyo kufanya ngono zembe.
Kuwa  mwangalifu  wakati  wote  iIi  usiweze  kutumbukia kwenye tabia hizo. Ikibidi kujamiiana...

 

10 years ago

Mwananchi

Wagombea urais CCM wagonga 40

Dodoma/Dar. Mtafiti binafsi na kada wa CCM, Helena Elinawinga (41), amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na chama chake kuwania urais na kusema amefikia uamuzi huo ili kupunguza kujirudiarudia kwa adhabu za vifo kwa viongozi.

 

10 years ago

Habarileo

Wagombea urais CCM kitanzini

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwapungia maelfu ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma jana, kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha Miaka 38 ya Kuzaliwa kwa CCM.MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete amewaonya wanachama wa chama hicho, kuheshimu Katiba ya chama na kufuata taratibu katika kugombea nafasi za kuteuliwa katika uchaguzi wa mkuu ili wasije kukilaumu chama, endapo wataenguliwa na hivyo kushindwa kutimiza ndoto zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kivumbi wagombea urais 42 wa CCM

Hiki ni kivumbi. Kati ya wagombea 42 waliojitokeza kuwania urais kupitia CCM, anatakiwa kubaki mmoja tu na mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu unafungwa kesho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani