MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO
![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwFHobtbomQPouxL9*4LbhgaFz367Lh1c45bUw*ZaU-Vu2l2rjzJCMfXcpEpBi2OTb6PsdQBqzfWBNzXFH3l0Ru/Sexuallytransmittedinfections.jpg?width=650)
Magonjwa ya kuambukizana kupitia kufanya ngono yaani kwa Kiingereza yanaitwa Sexually Transmitted Infections (STI) yamegawanyika katika makundi matatu. Maambukizo hutokea pale majimaji ya mwili kama vile mate, damu, manii, majimaji ya ukeni na kadhalika ya mtu ambaye tayari ameambukizwa, yatatangamana na ya mtu ambaye hajaambukizwa. Kuna aina nyingi ya magonjwa hayo ya STI na yamegawanywa katika makundi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuCVavomtvEX4NKJ95-gU0g7yzSoTX1Ar31muVaKU*rYqD1cD2lkBFc3*EeorvjSzYM909YWMk6urrmFIQCl-Vd/gonjwa.jpg?width=650)
MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO-2
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Makundi matatu ya wagombea urais CCM
KAMA ilivyokuwa katika makala zangu kadhaa zilizopita, wiki hii ninaendelea na mjadala kuhusu Uch
Evarist Chahali
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Yafahamu makundi ya damu na mahusiano yake na magonjwa
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mabadiliko ya virusi vya corona: Kwanini virusi vya corona vina tabia ya magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;
GROUP A;
Ufaransa
Romania
Albania
Switzerland
GROUP B;
Uingereza
Urusi
Wales
Slovakia
GROUP C;
Ujerumani
Ukraine
Poland
Northern Ireland
GROUP D;
Hispania
Jamhuri ya Czech
Uturuki
Croatia
GROUP E;
Belgium
Italia
Jamhuri...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Makaburi matatu kuwekwa wi-fi Moscow
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Mambo matatu yaitesa CCM
MBIO za kusaka urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), na uteuzi wa nafasi nne za mawaziri, vinaelezwa kukibomoa chama hicho, Tanzania Daima limedokezwa. Mbali na mambo hayo, mchakato...