Yafahamu makundi ya damu na mahusiano yake na magonjwa
Kama wengi wetu tunavyofahamu, damu ya binadamu imegawanyika katika makundi makuu manne; A, B, AB, na O. Lakini pia makundi haya kutokana na aina ya mfumo kinga wa Rh.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW5TEXbcYQhnGfOd63oPUMY1qtTt*jeaZ4vaDTqSGjx*y8GXGbmtoBdzUuZ-vEtlRFso21dok7zVtsvMJ3ffWV2b/Pepticulcerslgenlg.jpg?width=650)
YAFAHAMU MAKUNDI YA VIDONDA VYA TUMBO
Kuna makundi manne makuu ya vidonda vya tumbo ambayo leo tutawafahamisha.
Lakini kabla ya kuelezea makundi hayo ifahamike kuwa tafiti zimeonesha kwamba karibu asilimia 70 mpaka 90 ya vidonda vya tumbo husababishwa na aina ya vimelea vya bakteria wajulikanao kama Helicobacter pylori. Â Makundi hayo ya vidonda vya tumbo ni haya yafuatayo:- Mosi, kuna vidonda vinavyotokea kwenye mfuko wa kuhifadhia chakula yaani tumbo (Gastric...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
Yafahamu magonjwa saba yanayozuilika kwa chanjo-1
Chanjo ni mojawapo ya mbinu za kitabibu kwa ajili ya kukabiliana na magonjwa mbalimbali yanayoikabili jamii.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwFHobtbomQPouxL9*4LbhgaFz367Lh1c45bUw*ZaU-Vu2l2rjzJCMfXcpEpBi2OTb6PsdQBqzfWBNzXFH3l0Ru/Sexuallytransmittedinfections.jpg?width=650)
MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO
Magonjwa ya kuambukizana kupitia kufanya ngono yaani kwa Kiingereza yanaitwa Sexually Transmitted Infections (STI) yamegawanyika katika makundi matatu. Maambukizo hutokea pale majimaji ya mwili kama vile mate, damu, manii, majimaji ya ukeni na kadhalika ya mtu ambaye tayari ameambukizwa, yatatangamana na ya mtu ambaye hajaambukizwa.
Kuna aina nyingi ya magonjwa hayo ya STI na yamegawanywa katika makundi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuCVavomtvEX4NKJ95-gU0g7yzSoTX1Ar31muVaKU*rYqD1cD2lkBFc3*EeorvjSzYM909YWMk6urrmFIQCl-Vd/gonjwa.jpg?width=650)
MAKUNDI MATATU YA MAGONJWA YA NGONO-2
TUNAENDELEA kuwafafanulia kuhusu makundi matatu ya magonjwa yatokanayo na kujamiiana yaani ngono ambayo tulianza kuyachambua wiki iliyopita. Endelea. Wapo wanawake wanaopata magonjwa hayo kutokana na kubakwa au utumiaji wa madawa ya kulevya au pombe ambayo husababisha kukosa ufahamu na hivyo kufanya ngono zembe.
Kuwa mwangalifu wakati wote iIi usiweze kutumbukia kwenye tabia hizo. Ikibidi kujamiiana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PIJUTubi-U8/Xr_LGTECp-I/AAAAAAAC5cA/aMOU_ZokYIYpwY00EUKo2EN8a4Ol7phuwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
AMUUA MAMA YAKE MZAZI KISHA KUINYWA DAMU YAKE
Na.Vero Ignatus Arusha.
Jeshi la Polisi la Mkoa wa Arusha linamshikilia Daniel Emmanuel (32) Mkazi wa Sakila wilayani Arumeru, kwa kukutwa akinywa damu ya mama yake Mzazi Eliyamulika Emmanuel Sarakikiya (79) kwenye kikombe, baada ya kumuua kwa shoka na kutenganisha shingo,mkono na mguu na kiwiliwili.
Akizungumza kwa masikitiko, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana amesema mtuhumiwa huyo alifanya mauaji hayo Mei 15 mwaka huu, majira ya saa 9:00 mchana katika Kijiji cha Sakila...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/F2jE5eKEfto/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania