Kigoda ataka CCM kumaliza makundi
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa, Dk Abdallah Kigoda, amewataka wanachama wa chama hicho kumaliza makundi na tofauti zao, kabla ya uchaguzi mkuu ujao ili chama kiweze kuendelea kushika dola daima, na wala kisije kuwa chama cha upinzani.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
11 years ago
Habarileo07 Jan
RC ataka madiwani wa Bukoba kumaliza tofauti
MKUU wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe amewashauri madiwani wa Manispaa ya Bukoba kuondoa tofauti zao na kukaa pamoja kutengeneza mipango ya maendeleo ya wananchi wao.
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yafuta ushindi wa mtoto wa Kigoda
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM yampitisha mtoto wa Kigoda kugombea ubunge Handeni Mjini
10 years ago
Habarileo23 Apr
Mangula akerwa na makundi CCM
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wametakiwa kuvunja makundi, yanayowagawa ili kukinusuru chama hicho kiweze kujipanga vyema katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Habarileo02 Jun
CCM yawaasa wanachama na makundi
KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Rojas Lomuli amewataka viongozi wa chama hicho kuepuka kujiingiza katika makundi ndani ya chama katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
CCM imeshindwa kuyadhibiti makundi?
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) sasa kimekuwa kama familia ya kambale. Wote wana sharubu bila kujali ni baba, mama au hata mtoto. Tulishaandika sana, hii si ile CCM tuliyoifahamu. Sijawahi kuwa...
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Makundi ya Urais yaivuruga CCM