Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM imeshindwa kuyadhibiti makundi?

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) sasa kimekuwa kama familia ya kambale. Wote wana sharubu bila kujali ni baba, mama au hata mtoto. Tulishaandika sana, hii si ile CCM tuliyoifahamu. Sijawahi kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: CCM imeshindwa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimewataka wananchi kutokichagua Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi wa serikali za mitaa Kimesema mikakati na sera za Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimeshindwa kutatua...

 

10 years ago

Habarileo

Mangula akerwa na makundi CCM

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philip Mangula (kushoto), akihutubia katika mkutano wa wajumbe wa Halmshauri kuu ya CCMWANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) wametakiwa kuvunja makundi, yanayowagawa ili kukinusuru chama hicho kiweze kujipanga vyema katika kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya Urais yaivuruga CCM

 Makundi ya Urais wa 2015 yanaendelea kuivuruga CCM baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Mgana Msindai kuibuka na kusema atamburuta mahakamani Mwenyekiti mwenzake wa Mkoa wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma’ asipomwomba radhi kwa kumchafua kwa kumwita mpuuzi.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yawaasa wanachama na makundi

KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Morogoro, Rojas Lomuli amewataka viongozi wa chama hicho kuepuka kujiingiza katika makundi ndani ya chama katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.

 

5 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA CCM WATAKIWA KUVUNJA MAKUNDI

Na Woinde Shizza, Arusha 
Wanachama Wa chama cha mapinduzi  nchini wametakiwa kuondoa tofauti zao na kivunja makundi haswa katika kipindi hichi wanapoelekea katika uchaguzi Mkuu ili kukiwezesha chama hicho kupita kwa kishindo.
Hayo yamebainishwa na mjumbe wa kamati kuu CCM  Taifa ambaye pia ni Mwenyekiti Wa jumuiya ya wazazi   Edmund Mndolwa alipokuwa akiongea na viongozi Wa chama hicho mkoani Arusha Jana (Leo)kabla ya kuanza ziara ya siku tano ya kutembelea miradi mbalimbali  inayotekelezwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho asisimua makundi ya urais CCM

MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...

 

10 years ago

Raia Mwema

Makundi matatu ya wagombea urais CCM

KAMA ilivyokuwa katika makala zangu kadhaa zilizopita, wiki hii ninaendelea na mjadala kuhusu Uch

Evarist Chahali

 

10 years ago

GPL

HILI LA MAKUNDI CCM, MAGUFULI AMEMALIZA!

Mgombea urais wa Serikali ya awamu ya nne ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, John Pombe Magufuli. WOTE tunatambua kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kuvuka moja kati ya vikwazo vikubwa na hatari zaidi kuwahi kutokea katika historia yake, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu....Soma zaidi===>http://bit.ly/1I7WLQ2 ...

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo CCM waanguka makundi maalumu

VIGOGO wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiwemo wabunge wanaomaliza muda wao, wameanguka vibaya huku sura mpya zikiibuka katika kura ya maoni ya ndani ya chama hicho, kupata wabunge wa Viti Maalumu kutoka makundi maalumu uliofanyika juzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani