Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani
Agosti 5 mwaka huu, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanatarajiwa kuanza kukutana tena mjini Dodoma kujadili rasimu ya mabadiliko ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
10 years ago
Mwananchi09 Feb
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-y4G5rn7r2Mg/XuDXRxdDKhI/AAAAAAALtXE/CTIjtAhjhH0m50ZE7NcNosFlj6FtVeBGgCLcBGAsYHQ/s72-c/5..AA_-768x512.jpg)
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-y4G5rn7r2Mg/XuDXRxdDKhI/AAAAAAALtXE/CTIjtAhjhH0m50ZE7NcNosFlj6FtVeBGgCLcBGAsYHQ/s640/5..AA_-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/7-1AA-1024x803.jpg)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 10 Juni 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/9AAA-1024x861.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/10AA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/12AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/13AA-1024x688.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/14AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/15AAA-1024x657.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 May
Chama cha Upinzani chamteua kiongozi mweusi
Chama kikuu cha upinzani nchini Afrika Kusini cha Democratic Alliance kimemteua mwafrika kwa kwanza kukiongoza .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTauJmIS92HOSKBCPhxnrBoMrJ1VdM*xwFGvBnDsw3yWJSTFMarlueNGVihO-iRgRqRBuAyc3*ocsJmpWkorpRG/feruzi.jpg?width=650)
KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA
Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...
9 years ago
Mwananchi17 Aug
Magoba ajiunga chama cha tatu kusaka ubunge
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni 2000/05 kupitia CUF, Frank Magoba na baadaye kurudi CCM, amehama tena na kutua ACT-Wazalendo, ambako ameteuliwa kuwania ubunge wa Jimbo la Rungwe.
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Uchaguzi wa urais Malawi: Chombo cha habari cha serikali kinasema upinzani unaongoza
Matokeo rasmi hayajatangazwa lakini chombo cha habari cha serikali kimetangaza kuwa Lazarus Chakwera anaelekea kushinda.
10 years ago
Vijimambo31 Jul
CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.
![unnamed (4)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-44.jpg)
![unnamed (5)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-53.jpg)
![unnamed (6)](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/unnamed-62.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania