Magoba ajiunga chama cha tatu kusaka ubunge
Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kigamboni 2000/05 kupitia CUF, Frank Magoba na baadaye kurudi CCM, amehama tena na kutua ACT-Wazalendo, ambako ameteuliwa kuwania ubunge wa Jimbo la Rungwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
EXCLUSIVE: Zitto ajiunga rasmi na Chama cha ACT-Tanzania, akabidhiwa kadi namba 007194
Mh. Zitto Kabwe akilipa kwa ajili ya usajili wa kadi ya uanachama wa ACT.
...Kumwaga ‘mboga’ mbele ya wandishi wa Habari Jumapili hii Machi 22
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Hayawi hayawi…Sasa yamekuwa licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya leo Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MKV_9niom3I/VQ5aHzO5NaI/AAAAAAAHMCQ/Hw4GbgvgZxE/s72-c/IMG_30213473536467.jpeg)
Hayawi hayawi… Sasa yamekuwa.... Zitto Kabwe ajiunga rasmi na chama cha ACT
![](http://1.bp.blogspot.com/-MKV_9niom3I/VQ5aHzO5NaI/AAAAAAAHMCQ/Hw4GbgvgZxE/s1600/IMG_30213473536467.jpeg)
Licha ya kusemwa sana kwa muda mrefu juu ya kuhusishwa na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania dhidi ya aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe (pichani juu akisaini kitabu baada ya kupewa kadi) sasa yamekuwa kweli kwa Mbunge huyo baada ya jana Jumamosi ya Machi 21, kupokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake yenye namba 007194.
Hili limetokea siku moja tu baada ya Zitto kutangaza kuachia ubunge na kuandika barua rasmi ambapo sasa amekuwa mwanachama wa...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Mkutano mkuu wa tatu wa Chama cha waandishi wa habari za uchaguzi wafanyika
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s640/kumbumbuku.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-flQ41uBK85o/VZkSqmm-Z2I/AAAAAAAAFNI/Gue5GjAuKIE/s640/mjumbe%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnbq6U7watc/VZkSu_9rquI/AAAAAAAAFNU/-_9q9FhXE_o/s640/mjumbe%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pfG8ADxjzXU/VZkSvIhf4tI/AAAAAAAAFNY/ryYbMA66dsQ/s640/mjumbe%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHz2kv7q0PQ/VZkSvYIk_tI/AAAAAAAAFNo/lFAW8fVHKMM/s640/mjumbe%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1K5pxfjzHU/VZkSznZ4F9I/AAAAAAAAFNw/9PXeJuYs7xI/s640/mjumbe%2B6.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s72-c/kumbumbuku.jpg)
MKUTANO MKUU WA TATU WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI IRINGA (IPC) WA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s640/kumbumbuku.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1K5pxfjzHU/VZkSznZ4F9I/AAAAAAAAFNw/9PXeJuYs7xI/s640/mjumbe%2B6.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-k0wvR3pzugc/U5st6x30ehI/AAAAAAAFqXc/o49dSPkaf_U/s72-c/Albino+wa+Temeke+wapewa+msaada+na+Times+FM.jpg)
Times Fm yachangia chama cha Albino wilaya ya Temeke shilingi milioni tatu
![](http://2.bp.blogspot.com/-k0wvR3pzugc/U5st6x30ehI/AAAAAAAFqXc/o49dSPkaf_U/s1600/Albino+wa+Temeke+wapewa+msaada+na+Times+FM.jpg)
Katibu wa Kampuni ya Times Fm Radio, Amani Joachim ameukabidhi uongozi wa chama hicho hundi halisi akiwa ameambatana na Aluta Warioba (Meneja Vipindi Msaidizi) na Mzee Chapuo kutoka katika idara ya ubunifu.
Amani Joachim aliwaomba wapokee kiasi hicho kwa kuwa bado Times Fm...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NwOkgm-8rbs/Va7s7o37ZVI/AAAAAAAATXY/-_YS_LwBmnw/s72-c/Jimbo%2Bla%2BKinondoni-page-001.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4qOp8TF5zjNQXPgW07uwG7-cFvS5DJsVjAeyaU*DzxVtg01qAVkFuGz9wu8zeiHidhO5-0yqgiZutiY0JDL-S4/mrema.jpg?width=650)
CHAMA CHA TLP KIMEMPENDEKEZA MREMA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA VUNJO
9 years ago
Dewji Blog16 Sep
Chama cha ACT WAZALENDO chazindua kampeni zake za Ubunge jimbo la Manyoni
baadhi ya wagombea ubunge wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhuria mkutano wa uzinduzi katika jimbo la Manyoni-Singida.
Na, Jumbe Ismailly, Manyoni
CHAMA Cha ACT Wazalendo wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kimezindua kampeni za ubunge wa jimbo la Manyoni mashariki kwa kumnadi mgombea ubunge wa jimbo hilo,Muttee John Henry na kuwatisha watendaji wa idara ya afya wanaouza madawa kwenye vituo vya kutolea huduma na hivyo kusababisha wananchi kukosa huduma katika vituo vya kutolea huduma...