MKUTANO MKUU WA TATU WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI IRINGA (IPC) WA UCHAGUZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s72-c/kumbumbuku.jpg)
Wajumbe wa mkutano mkuu wa tatu wa IPC wa uchaguzi wakisimama kwa dakika moja kuwakumbuka wanachama waliotangulia mbele ya haki ambao ni aliyekuwa mwenyekti Daudi Mwangosi, Mweka Hazina Vick Macha na mjumbe wa kamati tendaji Mzee Fulgence Malangalila uliyofanyika Ukumbi wa Lutheran Center mjini Iringa.
Mwenyekiti wa IPC, Frank Leonard akifungua mkutano mkuu wa tatu leo katika Ukumbi wa Lutheran Centre mjini Iringa. Kushoto ni Mweka Hazina Msaidizi Janeth Matondo na Katibu Ktendaji Francis...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Mkutano mkuu wa tatu wa Chama cha waandishi wa habari za uchaguzi wafanyika
![](http://3.bp.blogspot.com/-wYzK7if34r8/VZkSqLXuSVI/AAAAAAAAFM4/XK_LPt5FmJs/s640/kumbumbuku.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-flQ41uBK85o/VZkSqmm-Z2I/AAAAAAAAFNI/Gue5GjAuKIE/s640/mjumbe%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnbq6U7watc/VZkSu_9rquI/AAAAAAAAFNU/-_9q9FhXE_o/s640/mjumbe%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pfG8ADxjzXU/VZkSvIhf4tI/AAAAAAAAFNY/ryYbMA66dsQ/s640/mjumbe%2B4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-lHz2kv7q0PQ/VZkSvYIk_tI/AAAAAAAAFNo/lFAW8fVHKMM/s640/mjumbe%2B5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X1K5pxfjzHU/VZkSznZ4F9I/AAAAAAAAFNw/9PXeJuYs7xI/s640/mjumbe%2B6.jpg)
9 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DODOMA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI DODOMA KUHUSU UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/w39TP2Wv8yc/default.jpg)
11 years ago
Michuzi13 Feb
NEWS ALERT:MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA IRINGA AWEKWA CHINI YA ULINZI KWA KUDAIWA KUPIGA PICHA MAHAKAMANI.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
Picha na Francis Godwin-Iringa.
9 years ago
Vijimambo02 Sep
UJUMBE WANGU KWA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KATIKA KUELEKEA KIPINDI HIKI CHA UCHAGUZI MKUU OCTOBER 25
![](https://fbcdn-photos-b-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-0/p206x206/11051210_912080395509439_5714058352690894029_n.jpg?oh=e66a17a0012cd76d268bf8b7c226d3ea&oe=56ABE6ED&__gda__=1451464971_71e7e2b7f6402c1f843658bd47b2daf1)
Kalamu yangu mdomo wangu leo nataka nizungumze na wanahabari wenzangu waandishi na wataangazaji pia nataka mjue kwambaa karama hii au kipaji hiki tumepewa sio kwamba sisi tulistahili sana kuliko wengine hapana ni kwamba tuliaminiwa kwamba tunaweza kutumia midomo yetu na kalamu zetu katika kusema na kuandika ukweli ili tuweze kuelimisha,kutoa habari na hata kuburudisha ikiwezeekana naomba niwashauri tutumie karama zetu vizuri tuache ushabiki ambao hautakuwa na manufaa yeyote kwa...
9 years ago
MichuziWAANDISHI HABARI WA ZANZIBAR WAPATIWA MBINU BORA ZA KURIPOTI HABARI ZA UCHAGUZI MKUU.
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Shirika la Habari la Marekani la Internews laendesha mafunzo ya kuripoti habari za uchaguzi mkuu kwa waandishi wa ZNZ
Mhadhiri wa Sheria, Kitivo cha Sheria Zanzibar University, Ali Uki akionyesha kitabu cha Sheria cha Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na kitabu cha Sheria cha Tanzania na cha Zanzibar ambavyo vinawapasa waandishi wa habari kuvisoma na kuzitumia sheria hizo katika kuandika habari za Uchaguzi Mkuu kwa usahihi.
Mkufunzi na Mwandishi Mkongwe wa Tasnia ya Habari Zanzibar Salim Said Salim akitoa mada katika mafunzo ya siku tano juu ya kuandika Habari za Uchaguzi Mkuu yaliyoandaliwa na...