Times Fm yachangia chama cha Albino wilaya ya Temeke shilingi milioni tatu
![](http://2.bp.blogspot.com/-k0wvR3pzugc/U5st6x30ehI/AAAAAAAFqXc/o49dSPkaf_U/s72-c/Albino+wa+Temeke+wapewa+msaada+na+Times+FM.jpg)
100.5 Times Fm Radio imetoa kiasi cha shilingi milioni tatu kwa albino wa wilaya ya Temeke, Dar es Salaam kama sehemu ya mchango wao kwa jamii hiyo yenye ulemavu wa ngozi inayokumbwa na changamoto nyingi.
Katibu wa Kampuni ya Times Fm Radio, Amani Joachim ameukabidhi uongozi wa chama hicho hundi halisi akiwa ameambatana na Aluta Warioba (Meneja Vipindi Msaidizi) na Mzee Chapuo kutoka katika idara ya ubunifu.
Amani Joachim aliwaomba wapokee kiasi hicho kwa kuwa bado Times Fm...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Apr
Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.
10 years ago
Bongo502 Mar
Mtangazaji wa Times FM aporwa iPhone 6 ya dhahabu yenye thamani ya shilingi milioni 3.8
10 years ago
VijimamboMAKABIDHIANO YA PUMPU YA MAJI KISIMA CHA KABURI KIKOMBE NA UTILIANAJI SAINI YA MRADI WA UCHIMBAJI KISIMA BOMANI UKIWA NA THAMANI YA SHILINGI MILIONI MIA TATU
10 years ago
MichuziMakabidhiano ya Pampu ya Maji Kisima cha Kaburi Kikombe na Utilianaji Saini ya Mradi wa Uchimbaji Kisima Bomani Ukiwa na Thamani ya Shilingi milioni mia tatu
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
9 years ago
VijimamboMFUKO WA LAPF WATOA SHILINGI MILIONI TATU, KUSAIDIA WIKI YA NENDA KWA USALAMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bPMMzfi0-BI/U47MhBwSlKI/AAAAAAAFne8/y7dq4ZYYtXo/s72-c/unnamed+(89).jpg)
wilaya ya Kalambo Mkoa wa Rukwa yatumia shilingi milioni 8.5 kupambana na ukimwi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Vijana Halmashauri ya Wilaya ya Ileje Mkoa wa Mbeya wafaidika na Mkopo wa shilingi milioni 10
![](http://3.bp.blogspot.com/-5pJv_gxChfU/VMHxbJ5PVsI/AAAAAAAG_Hw/QogYBitrxx0/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oGfDWyblI54/VMHxbZH__zI/AAAAAAAG_H0/QBe6AH8-gZI/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s72-c/IMAG0023.jpg)
HOSPTIALI ZA WILAYA ZA MISUNGWI, SENGEREMA, MAGU NA KWIMBA ZAPEWA VIFAA VYA THAMANI YA SHILINGI MILIONI 68
![](http://2.bp.blogspot.com/-l06tip_Iy30/VDwjOAGbzRI/AAAAAAABGXE/hVs-QIPsims/s1600/IMAG0023.jpg)
TAASISI ya Afrika ya Brien Holden Vision Institute (BHVI) imezipiga jeki ya vifaa tiba vyenye thamani ya Sh milioni 68 ili kukabiliana na tatizo la wagonjwa wa macho katika Hosptali za Wilaya ya Misungwi na Sengerema, Magu na Kwimba mkoani Mwanza.
Msaada huo ulikabidhiwa mwishoni mwa juma lililopita na Meneja Mipango wa BHVI Afrika, Mary Wepo kwenye hafla fupi iliyofanyika ofisi za Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza chini ya ufadhili wa Stanard Chartered Bank Tanzania Ltd kupitia mpango wa miaka...