Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU CHAKABIDHI MSAADA KWA WATOTO WALIOATHIRIWA NA MVUA


11 years ago
Michuzi
Times Fm yachangia chama cha Albino wilaya ya Temeke shilingi milioni tatu

Katibu wa Kampuni ya Times Fm Radio, Amani Joachim ameukabidhi uongozi wa chama hicho hundi halisi akiwa ameambatana na Aluta Warioba (Meneja Vipindi Msaidizi) na Mzee Chapuo kutoka katika idara ya ubunifu.
Amani Joachim aliwaomba wapokee kiasi hicho kwa kuwa bado Times Fm...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Msalaba mwekundu ‘wapigwa jeki’
CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja, kimepokea msaadawa vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili wawezekufanya kazi kwa ufanisi. Msaada huo ulikabidhiwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Msalaba Mwekundu yasaidia watoto walemavu
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) Manispaa ya Temeke, kimetoa zaidi ya jozi 900 za viatu na sabuni za kuogea na kufulia kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo....
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Msalaba Mwekundu Mailimoja wapigwa tafu
CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja Kibaha mkoani Pwani, kimepokea dawa, vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili waweze kufanya kazi...
11 years ago
Habarileo02 Feb
Msalaba Mwekundu wasihi Watanzania kuchangia Moro
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimewaomba Watanzania waendelee kutoa michango kwa ajili ya walioathiriwa na mafuriko Morogoro, kwa kuwa iliyotolewa haitoshi.
11 years ago
GPLCHAMA CHA ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY ‘ACT’ CHAPOKEA WANACHAMA WAPYA
9 years ago
Michuzi
ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani jijini Geneva

10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.