ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani jijini Geneva
![](http://3.bp.blogspot.com/-cSndD-2fky8/VmnOPw72NAI/AAAAAAAILi4/i9UUHJa0Ix4/s72-c/20151210_155514.jpg)
Pichani ni ushiriki wa Tanzania katika Mkutano wa Shirika la Msalaba Mwekundu Duniani ambao Rais wa Msalaba Mwekundu Tanzania ambapo Dr. Zainab Amir Gama na Mh. Balozi Modest Mero wanashiriki jijini Geneva Uswisi. Mkutano hio ulioanza tarehe 4 Desemba na utaisha leo tarehe 10 Disemba 2015. Huu ni mkutano mkuu wa Msalaba Mwekundu na Hilari Nyekundu wa dunia ambao maudhui ya mkutano huu ni mjadala na maamuzi ya uongozi, amani, uhamiaji na unyanyasaji wa wanawake na watoto, mpango wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s72-c/unnamedm.jpg)
MKUTANO MKUU WA 104 WA SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO), GENEVA 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s640/unnamedm.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-G6jewoasusE/VDg8cczXevI/AAAAAAAGpCs/7xTkemtKCzw/s72-c/1%2B(1).jpg)
Tanzania yawakilishwa katika Mkutano wa Wabunge Vijana kutoka Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Mjini Geneva,Uswis
![](http://4.bp.blogspot.com/-G6jewoasusE/VDg8cczXevI/AAAAAAAGpCs/7xTkemtKCzw/s1600/1%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_xGa8-cIkZA/VDg8cVQFuII/AAAAAAAGpCw/h5Sh0GrgQLs/s1600/2%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SjtOoHa3_Dc/VDg8kjS8_qI/AAAAAAAGpDA/jozNcwkAS-I/s1600/5%2B(1).jpg)
10 years ago
MichuziTanzania yashiriki katika mkutano wa 68 wa Shirika la Afya Duniani WHO
Katika hotuba yake ameeleza masuala mbalimbali yaliyotekelezwa na yanayoendelea kutekelezwa hususani kufikiwa kwa lengo la milenia la kupunguza vifo vya watoto chini ya miaka mitano kiwango cha watoto 54 kati ya vizazi hai 1000.
vile vile utekelezaji wa mpango wa Afya ya msingi wa 2007-2017, lengo ni kuimarisha na kuhakikisha huduma za afya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s72-c/0999700.jpg)
Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s400/0999700.jpg)
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Msalaba mwekundu ‘wapigwa jeki’
CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja, kimepokea msaadawa vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili wawezekufanya kazi kwa ufanisi. Msaada huo ulikabidhiwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Msalaba Mwekundu yasaidia watoto walemavu
CHAMA cha Msalaba Mwekundu (Red Cross) Manispaa ya Temeke, kimetoa zaidi ya jozi 900 za viatu na sabuni za kuogea na kufulia kwa watoto wenye ulemavu wa ngozi na viungo....
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
Msalaba Mwekundu Mailimoja wapigwa tafu
CHAMA cha Msalaba Mwekundu tawi la Mailimoja Kibaha mkoani Pwani, kimepokea dawa, vifaa pamoja na fedha kutoka kwa mke wa mbunge wa Kibaha mjini, Selina Koka ili waweze kufanya kazi...
11 years ago
Habarileo02 Feb
Msalaba Mwekundu wasihi Watanzania kuchangia Moro
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimewaomba Watanzania waendelee kutoa michango kwa ajili ya walioathiriwa na mafuriko Morogoro, kwa kuwa iliyotolewa haitoshi.
11 years ago
Habarileo18 Apr
Chama cha Msalaba Mwekundu chapokea Shilingi milioni 20.7
CHAMA cha Msalaba Mwekundu Tanzania kimepokea msaada wa Sh milioni 20.7 na vyakula mbalimbali vyenye thamani ya Sh milioni 4.