Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
.jpg)
Chifu wa Kabila la Wazanaki Japhet Wanzagi (wapili toka kulia)i akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya alichotaja kuwa ni upotoshwaji uliofanywa na gazeti moja la kila siku kuhusu taarifa za kutaja sifa za rais ajaye na kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais alidai taarifa za kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais si za kweli bali amelishwa maneno).Wengine ni baaadhi ya wanafamilia na rafiki wa chifu huyo mapaema hii leo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila


CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...
10 years ago
Mtanzania04 May
Chifu Wanzagi ataja sifa za rais ajaye
Na Elias Msuya, Dar es Salaam
CHIFU wa kabila la Wazanaki, Japheth Wanzagi ametaja sifa za rais ajaye akisema, anapaswa kuwa ni mtu wa haki.
Hata chifu huyo amesema ni kitendawili kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa na mtu mwenye sifa hiyo.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na MTANZANIA Sinza Kijiweni mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Chifu Wanzagi alisema kwa kuwa Watanzania walio wengi ni masikini, hivyo rais ajaye anapaswa kutenda haki.
“Kitu kinacholeta taabu kwa sasa ni haki....
5 years ago
CCM Blog
CHIFU ADAM WA PILI ASIMIKWA RASMI KUWA CHIFU WA WAHEHE

Hafla hiyo imefanyika katika Uwanja wa Mashujaa uliopo Kalenga Mkoani Iringa ambapo Umoja Wa Machief Tanzania UMT umeshiriki.
Chief Adam wa Pili anachukua nafasi ya baba yake, Chief Abdul Mfwimwi aliyefariki mwaka 2005.

9 years ago
Bongo518 Dec
Kidum akanusha taarifa za kuwa ameokoka, aeleza kuhusu picha za kubatizwa zilizosambaa

Wiki chache zilizopita kuna picha za muimbaji wa Burundi, Kidum zikimuonesha akibatizwa kwenye maji mengi zilisambaa mtandaoni na ikasemekana kuwa ameokoka na kuachana na muziki wa kidunia.
Mwanamuziki huyo mwenye makazi nchini Kenya, amefafanua kuhusu picha hizo kuwa alikuwa akishoot video mpya.
“Sikudanganyi, picha zile muliona ni za video, nilikuwa nashoot video ya wimbo unaitwa ‘Mbingu na Dunia’.” alisema Kidum kupitia Amplifaya ya Clouds Fm. “Sasa jamaa alikuwa anashoot video akakuwa...
10 years ago
Mwananchi07 May
Chifu Wanzagi: CCM isiibeze Ukawa
10 years ago
Michuzi.jpg)
membe mgeni rasmi katika sherehe za kumkumka Chifu Wanzagi wa Wazanaki kijijini Butiama leo
.jpg)

5 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
WOLPER AKANUSHA KUWA MJAMZITO
11 years ago
Mwananchi11 Feb
Jennifer Hudson akanusha kuwa mgonjwa