Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kidum akanusha taarifa za kuwa ameokoka, aeleza kuhusu picha za kubatizwa zilizosambaa

kidum

Wiki chache zilizopita kuna picha za muimbaji wa Burundi, Kidum zikimuonesha akibatizwa kwenye maji mengi zilisambaa mtandaoni na ikasemekana kuwa ameokoka na kuachana na muziki wa kidunia.

kidum

Mwanamuziki huyo mwenye makazi nchini Kenya, amefafanua kuhusu picha hizo kuwa alikuwa akishoot video mpya.

“Sikudanganyi, picha zile muliona ni za video, nilikuwa nashoot video ya wimbo unaitwa ‘Mbingu na Dunia’.” alisema Kidum kupitia Amplifaya ya Clouds Fm. “Sasa jamaa alikuwa anashoot video akakuwa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JOHARI AKANUSHA MADAI YA KUBATIZWA

MKONGWE wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amedaiwa kubatizwa juzikati katika Kanisa Katoliki Nyalikungu wilayani Maswa, Simiyu lakini mwenyewe amekanusha. Mkongwe wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Chanzo makini kilichodai kushuhudia ubatizo, kilieleza kuwa Johari alifika Jumapili kanisani hapo na watu kuhoji kwa nini achelewe kubatizwa? Alipotafutwa na mwanahabari wetu, Johari...

 

10 years ago

Michuzi

Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais

 Chifu wa Kabila la Wazanaki Japhet Wanzagi (wapili toka kulia)i akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya alichotaja kuwa ni upotoshwaji uliofanywa na gazeti moja la kila siku kuhusu taarifa za kutaja sifa za rais ajaye na kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais alidai taarifa za  kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais si za kweli bali amelishwa maneno).Wengine ni baaadhi ya wanafamilia na rafiki wa chifu huyo mapaema hii leo...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA KUHUSU TAARIFA ZA UZUSHI ZINAZOZAGAA KUWA BABU SEYA NA MAWAE WAMEACHIWA HURU

Hivi sasa kuna taarifa zimesambaa kupitia Ujumbe mfupi wa simu (SMS) na mitandao ya kijamii zikihusisha kuachiliwa huru kwa wafungwa wawili wanaotumikia Kifungo cha Maisha gerezani. Wafungwa hao wanaotajwa ni Nguza Vicking(Maarufu kwa jina Babu Seya) na Johnson Nguza(Maarufu kwa jina la Papii Kocha).
Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na...

 

11 years ago

CloudsFM

MH.KOMBA ASEMA PICHA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO ZIMETENGENEZWA,ZAMFANYA ASHINDWA KUINGIA BUNGENI LEO

Mbunge huyo amesema kwamba picha hizi zimetengenezwa na maadui wake wa kisiasa na kwamba yeye sio Kiongozi wa hovyo hovyo namna hiyo. Kapteni Komba amesema kwamba anawakaribisha wataalamu wa Picha na Mitandao kutihibitisha ukweli wa picha hizo zinazoonyesha Mwanadada akiwa na kipande cha khanga tu huku Mbunge huyo akiwa pembeni yake akionyesha kutokuwepo kabisa kwenye Mahaba yanayotakiwa kuwa yanaendelea baina yao.
Mbunge huyo ameuliza zaidi iweje awe kwenye mapenzi kama picha zinavyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

NHC yakanusha taarifa za upotashaji zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii na gazeti kuhusiana na Mkurugenzi wa Shirika hilo

138

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki

2

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Akanusha Taarifa za Kujifungua

Baada ya kuzagaa taarifa za staa wa filamu nchini Aunt Ezekiel kujifungua, mwanahabari wa GPL ametia timu nyumbani kwa Aunt na kujiridhisha pasipo na shaka kuwa mrembo huyo bado yu mjamzito na taarifa za kujifungua si za kweli.

Mitandao mbalimbali ya kijamii imeripoti taarifa za Aunt kujifungua kuanzia jana huku mingine ikimpongeza na kuweka kipande cha video kinachomuonyesha mwigizaji huyo akiwa ammbeba mtoto mchanga.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Aunt Ezekiel jana aliweka kipande...

 

9 years ago

Bongo5

Bwana Misosi akanusha taarifa za kuacha muziki

Hitmaker wa ‘Nitoke Vipi’, Bwana Misosi amekanusha taarifa kuwa ameacha muziki. Misosi ameiambia Bongo5 kuwa hajui nani aliyesambaza taarifa hizo ambazo nasi tuliziandika. “Unajua hizo habari hata mimi nimezisikia na nimekuwa nikipigiwa simu sana kuwa nimetangaza kuacha muziki,” amesema. “Hizo habari sio za kweli na sijui nani amezisambaza. Hapa sasa hivi navyoongea na wewe nipo […]

 

9 years ago

Bongo5

Kylie Jenner akanusha taarifa za kuachana na Tyga

kylie-tyga-ellen

Mrembo wa familia ya Kardashians, Kylie Jenner amezungumzia kuhusu taarifa zilizosambaa wiki iliyopita kuwa amempiga chini rapper Tyga ambaye ni boyfriend wake.

kylie-tyga-ellen

Akizungumza katika kipindi cha The Ellen Show, Kylie amekanusha kuhusu uvumi huo na kusema kuwa watu walielewa vibaya lakini yeye na Tyga hawajaachana.

“Honestly, people have it all wrong, We’re not broken up. We became best friends before anything happened, so I think that that’s awesome and we’re just like, hanging out.”

Baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani