NHC yakanusha taarifa za upotashaji zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii na gazeti kuhusiana na Mkurugenzi wa Shirika hilo
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mnE4PZjSkog/VkCUMYIAchI/AAAAAAAIFAU/HERqdUg_NYg/s72-c/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
BODI YA MIKOPO YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
![](http://1.bp.blogspot.com/-mnE4PZjSkog/VkCUMYIAchI/AAAAAAAIFAU/HERqdUg_NYg/s640/Mkurugenzi%2BMtendaji%2B-%2BBw.%2BGeorge%2BNyatega.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-KasCgFTExCw/VkCTqUrAR2I/AAAAAAAIFAM/1SFgQEQTezY/s1600/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
AWAMU YA PILI YA WANAFUNZI WALIOPANGIWA MIKOPO KWA 2015/2016BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuutaarifu umma kuwa kuna taarifa zinazosambazwa na baadhi ya mitandao ya kijamii kuwa Bodi haitatoa mikopo kwa waombaji wapya kwa mwaka wa masomo 2015/2016. Taarifa hizo si za kweli na hivyo Bodi inauomba umma kuzipuuza.
Aidha, Bodi ya Mikopo inapenda kutoa taarifa kwamba hadi sasa imekwishawapangia mikopo jumla ya waombaji mikopo wenye...
11 years ago
Michuzi23 Jul
NHC yakanusha tuhuma zilizoandikwa na moja ya Gazeti la kila siku juu ya Mkurugenzi Mkuu wake
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/138.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/224.jpg)
9 years ago
Michuzi28 Dec
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Serikali yakanusha uvumi uliokuwa umeenea kwenye mitandao ya kijamii kuhusu mavazi
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akiwa ofisini kwake.
Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo inapenda kuujulisha Umma kwamba kumekuwapo na upotoshwaji unaondelea katika mitandao ya kijamii hususan facebook, Instagram na WhatsApp ambapo sehemu ya upotoshaji huo imenukuliwa kama ifuatavyo “Wizara imetoa tamko kuwa kuanzia januari 2016 mavazi yote yasiyo stahiki ambayo hayaendani na mila na desturi zetu Wizara yangu na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-shaeSIGjLZg/XoYERNG0wgI/AAAAAAAC85Q/Of48Ddi6LVY3X519j6rPqIaMdKdIZ5VjgCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s72-c/download.jpg)
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA KATIKA JESHI LA MAGEREZA KWENYE BAADHI YA MITANDAO YA KIJAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-dv9nM2pveqY/VgsLQ8R4P1I/AAAAAAAH7xw/caOlPqx-0Eo/s1600/download.jpg)
Katika siku za hivi karibuni, kumekuwepo na tangazo kuhusu nafasi za ajira katika Jeshi la Magereza linalodaiwa kuwa limetolewa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza na kusambazwa kwenye baadhi ya Mitandao ya kijamii. Umma unajulishwa kuwa taarifa hizo siyo za kweli.
Jeshi la Magereza linapenda kuufahamisha umma kuwa ajira hutolewa na kutangazwa kupitia Vyombo vya Habari pamoja na tovuti ya Jeshi la Magereza ya www.magereza.go.tz
Hivyo, Jeshi la Magereza linawatahadharisha Wananchi wote...
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MTENDAJI WA 8020 FASHIONS SHAMIM MWASHA ATOA MADA NAMNA KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII KWA MANUFAA KWENYE SEMINA YATAASISI YA MANJANO
11 years ago
CloudsFM06 Jun
MH.KOMBA ASEMA PICHA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO ZIMETENGENEZWA,ZAMFANYA ASHINDWA KUINGIA BUNGENI LEO
Mbunge huyo amesema kwamba picha hizi zimetengenezwa na maadui wake wa kisiasa na kwamba yeye sio Kiongozi wa hovyo hovyo namna hiyo. Kapteni Komba amesema kwamba anawakaribisha wataalamu wa Picha na Mitandao kutihibitisha ukweli wa picha hizo zinazoonyesha Mwanadada akiwa na kipande cha khanga tu huku Mbunge huyo akiwa pembeni yake akionyesha kutokuwepo kabisa kwenye Mahaba yanayotakiwa kuwa yanaendelea baina yao.
Mbunge huyo ameuliza zaidi iweje awe kwenye mapenzi kama picha zinavyo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10