NHC yakanusha tuhuma zilizoandikwa na moja ya Gazeti la kila siku juu ya Mkurugenzi Mkuu wake
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog23 Jul
NHC yakanusha taarifa za upotashaji zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii na gazeti kuhusiana na Mkurugenzi wa Shirika hilo
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuaia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe Mkuu wa Kitengo cha Sheria na Benedict Kilimba Mkurugenzi wa Uendeshaji Miliki
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5eIeogaRC4/UwUAtE-2exI/AAAAAAAFOGw/QloBugfai44/s72-c/IMG_1366.jpg)
11 years ago
Michuzi28 Jul
MHE. OMAR MJENGA AFANYA KIKAO NA MKURUGENZI MKUU NHC BWN. NEHEMIAH MCHECHU NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA UJENZI YA DAMAC, BWN.SONIL VOHOR
![](https://1.bp.blogspot.com/-OCYa-tI_spU/U9VQVqSeuPI/AAAAAAACzwg/E2bIXHalb1Q/s1600/20140727_190328.jpg)
10 years ago
Michuzi31 Jan
Mkurugenzi Mkuu wa NHC atembelea miradi Geita na Mwanza
![](https://4.bp.blogspot.com/-ijgj0MQ_iM8/VMvr3SNYRJI/AAAAAAAAAV8/X8xLAkA8qds/s1600/New%2BPicture%2B%2837%29.png)
![](https://4.bp.blogspot.com/-KUC3XCiW87I/VMvr8zPTVOI/AAAAAAAAAWM/5Q4O-cLqZVw/s1600/New%2BPicture%2B%2838%29.png)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi30 Jan
MKURUGENZI MKUU WA NHC AENDELEA NA ZIARA YAKE MIKOANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-G5Xb9qHp_MA/VMpiKT0VESI/AAAAAAAAASc/Mgwof3W9Kgo/s1600/New%2BPicture%2B%2832%29.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/---0QHxbSqjU/VMphk_1ZgsI/AAAAAAAAARg/k4aLMpy6dDI/s1600/New%2BPicture%2B%2827%29.png)
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Ziara ya Mkurugenzi Mkuu wa NHC Geita na Kagera yahamasisha maendeleo
Mkurugenzi Mkuu wa NHC BW. Nehemia Kyando Mchechu akiongea na kikundi cha vijana cha Mshikamano Wilayani Muleba alipokitembelea kuona namna kinavtumia mashine zilizotolewa na NHC ili kuongeza ajira kwa vijana. Bw. Mchechu amezitaka Halmashauri za Wilaya nchini kuunga mkono juhudi za NHC kwa kuwapatia vijana maeneo ya kufanyia kazi zao.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu wa NHC BW. Nehemia Kyando Mchechu ukiwa eneo la Mtukula linapojengwa jingo la kisasa la biashara na NHC ili kuvutia na kuchochea...
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
Ziara ya Mkurugenzi mkuu wa NHC katika mikoa kukagua miradi
Mwonekano wa sasa wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Mlole Kigoma
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu akikagua mradi wa nyumba za gharama nafuu zinazojengwa na NHC eneo la Ilembo Katavi. Nyumba hizo 70 zimeshakamilika na zinauzwa kwa wananchi wote wanaohitaji.
Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Kyando Mchechu na akiwa eneo la Inyonga Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi kukagua eneo ambalo ujenzi wa nyumba za gharama nafuu umeshaanza.
Ujumbe wa Mkurugenzi Mkuu...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/New-Picture-130.png?width=650)
ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC KUKAGUA MIRADI YA SHIRIKA MIKOANI