Rais Magufuli amteua Bw. Dunstan Kyobya kuwa DC Mtwara na Dkt. Magere kuwa RAS Pwani
![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Rais Dkt. Magufuli amteua Dkt. Tulia Mwansasu kuwa Mbunge
Dkt. Tulia Mwansasu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli, leo asubuhi ametengua uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumteua kuwa Mbunge.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene, ameithibitisha kutenguliwa na kuteuliwa kwa Dk Tulia.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashilila amekiri kupokea taarifa ya uteuzi wa Dk Tulia mapema leo asubuhi.
Awali kabla ya uteuzi huo, Dr Tulia alikuwa Naibu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HifeyUz-ocI/XrVpx_PsBlI/AAAAAAALpf4/LM0bu-3zvEkmYIv3AXmdRAKmXRcIpG9oQCLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PS1wXB0v9e4/VkmdmUqMs-I/AAAAAAAIGLI/z-dMLXuQd1o/s72-c/34873ebf69776e90b065e0e0a1f67148.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8sP98O5fhhs/XrY-X6Xk4uI/AAAAAAALph4/0GoBCsz06wQkI_3-kRMxwAfuBRHo9zXIwCLcBGAsYHQ/s72-c/b5e8b08c-0e00-47ec-8447-df8de1ad95b0-768x576.jpg)
RC MTWARA AMUAPISHA DC MPYA DUNSTAN KYOBYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-8sP98O5fhhs/XrY-X6Xk4uI/AAAAAAALph4/0GoBCsz06wQkI_3-kRMxwAfuBRHo9zXIwCLcBGAsYHQ/s640/b5e8b08c-0e00-47ec-8447-df8de1ad95b0-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/c1f50b62-5529-4340-9a36-4376ae79988a-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/4b3fa794-a655-4acd-9a52-10c3e6820904-1024x768.jpg)
……………………………………………………………..Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amemuapisha mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara Dunstan Kyobya, ambae uteuzi wake umefanywa Mei 6 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli.
Moja ya maelekezo ya mkuu wa mkoa Byakanwa kwa mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara ni Pamoja na kuendeleza ...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/tulia.jpg?width=650)
RAIS MAGUFULI AMTEUA DK TULIA ACKSON KUWA MBUNGE
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-g5jzVV9S_5Y/Vk11kb7l8uI/AAAAAAAA1Ow/G1Wp2mjbNg0/s72-c/IMG_20151119_100418.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Nov
BREAKING NEWS: Rais Magufuli amteua Dk Tulia Mwansasu kuwa mbunge
RAIS wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemteua Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
10 years ago
Michuzi19 Dec
RAIS AMTEUA Dkt. James P. MATARAGIO KUWA MKURUGENZI MTENDAJI WA SHIRIKA LA MAENDELEO YA PETROLI (TPDC)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue uteuzi huo ulianza tarehe 15 Desemba, 2014.Dkt. James P. MATARAGIO ni Mtanzania ambaye hivi sasa anaishi na kufanya kazi nchini Marekani akiwa Senior Geoscientist wa Kampuni ya Bell Geospace, Houston, Marekani. Wasifu wake ni kama...