Rais Dkt. Magufuli amteua Dkt. Tulia Mwansasu kuwa Mbunge
Dkt. Tulia Mwansasu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli, leo asubuhi ametengua uteuzi wa Naibu Mwanasheria Mkuu, Dk Tulia Ackson Mwansasu na kumteua kuwa Mbunge.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Assah Mwambene, ameithibitisha kutenguliwa na kuteuliwa kwa Dk Tulia.
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashilila amekiri kupokea taarifa ya uteuzi wa Dk Tulia mapema leo asubuhi.
Awali kabla ya uteuzi huo, Dr Tulia alikuwa Naibu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PS1wXB0v9e4/VkmdmUqMs-I/AAAAAAAIGLI/z-dMLXuQd1o/s72-c/34873ebf69776e90b065e0e0a1f67148.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Nov
BREAKING NEWS: Rais Magufuli amteua Dk Tulia Mwansasu kuwa mbunge
RAIS wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemteua Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson Mwansasu kuwa mbunge katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/tulia.jpg?width=650)
RAIS MAGUFULI AMTEUA DK TULIA ACKSON KUWA MBUNGE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s72-c/tulia.jpg)
BREAKING NYUZZZZ.....: DKT. TULIA ACKSON MWANSASU APITISHWA KUWA NAIBU SPIKA WA BUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-p2NiTvnRhFA/Vk2ktxJAETI/AAAAAAAIGyU/b7oB5Yk_fJ8/s640/tulia.jpg)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DbDSllT4TZk/XrLj7DKlQ8I/AAAAAAALpT8/m7fdCkUb_G4vWNPu9MYb3eLKzoXtfNyGwCLcBGAsYHQ/s72-c/Rais-Magufuli.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HifeyUz-ocI/XrVpx_PsBlI/AAAAAAALpf4/LM0bu-3zvEkmYIv3AXmdRAKmXRcIpG9oQCLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s72-c/_MG_6485.jpg)
DKT SHEIN AMNADI DKT MAGUFULI KISIWANI UNGUJA LEO,ASEMA ANATOSHA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3GYObeUA7U/ViFDmfHDnOI/AAAAAAADBBc/TlfF4R_Lujk/s1600/_MG_6485.jpg)
Dkt Shein emebainisha wazi kwenye mkutano huo wa kampeni kuwa Dkt Magufuli ni mtu sahihi na anatosha kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,amesema kuwa iwapo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s72-c/1..jpg)
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNqlncb3TWM/Xq6Xr-4ZvjI/AAAAAAALo6w/M8OgxDZ5orMXfls-X2lTWXTejeMo_xznQCLcBGAsYHQ/s640/1..jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2.-scaled.jpg)