Kijana aliyejiunga na IS atoa onyo
Kijana mmoja raia wa Australia, aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS ametoa onyo kwa Rais wa Marekani Barack Obama na waziri mkuu wa Australia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVZlvYLyCKBewLk7wKyCXWASqAvX2NmchP0PmkdJDbGGt6*c*8ITC6zlzgSOKhmv1lpDkwUCxBGLb7Nnc1ZLl2s/141022063029_isisisilmosul__512x288_ap.jpg?width=650)
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
10 years ago
Mtanzania14 May
Pluijm atoa onyo Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Bayern v Arsenal, Lahm atoa onyo
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Nkurunziza atoa onyo kwa wapinzani Burundi
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Abramovich atoa onyo kali kwa nyota Chelsea
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Askofu Geita atoa onyo maziko ya Padri Kimisha
ASKOFU wa Jimbo Katoliki Geita, Damian Dallu, aliongoza mamia ya wakazi wa Geita na maaskofu kwenye ibada ya mazishi ya Padri Henry Kimisha aliyekuwa Paroko wa Kanisa la Mama Fatima...