Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Geita atoa onyo maziko ya Padri Kimisha

ASKOFU wa Jimbo Katoliki Geita, Damian Dallu, aliongoza mamia ya wakazi wa Geita na maaskofu kwenye ibada ya mazishi ya Padri Henry Kimisha aliyekuwa Paroko wa Kanisa la Mama Fatima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Pinda kuongoza maziko ya Askofu Mhogolo

WACHUNGAJI wapatao 300 waliokuwa wakifanya kazi chini ya aliyekuwa Askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dayosisi ya Dodoma, Marehemu Godfrey Mdimi Mhogolo wametakiwa kujipa moyo wakati wa kipindi hiki kigumu cha kumpoteza kiongozi wao.

 

10 years ago

Mtanzania

Pluijm atoa onyo Yanga

plijmNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyejiunga na IS atoa onyo

Kijana mmoja raia wa Australia, aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS ametoa onyo kwa Rais wa Marekani Barack Obama na waziri mkuu wa Australia

 

9 years ago

Mwananchi

Bayern v Arsenal, Lahm atoa onyo

Nahodha wa Beyern Munich, Philipp Lahm ameonya wenzake kuwa makini na upinzani kutoka kwa Arsenal leo kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii

mwakiNA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.

Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo

“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza atoa onyo kwa wapinzani Burundi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ametoa ilani ya siku tano kwa wale aliowataja kuwa watenda mabaya kujisalimisha

 

10 years ago

GPL

KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI

Baadhi ya watu wanaounga mkono wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria. Kijana  raia wa Australia, Abdullah Elmir 'Abu Khaled' aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS wanaopigana nchini Iraq na Syria ameonekana kwenye kanda ya video. Katika kanda hiyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 anawahutubia waziri mkuu wa Australia Tony Abbot pamoja na Rais wa Marekani Barack Obama.… ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama atoa onyo kali kwa Urussi

Rais wa Marekani ameonya Urussi kusitisha mpango wake wa kutaka kutwaa eneo la Crimea nchini Ukraine lasivyo iwekewe vikwazo

 

5 years ago

CCM Blog

GAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo, ametoa onyo kali kwa waongoza utalii wanaofanya shughuli zao Mkoani Arusha baada ya kuhusishwa na usambazaji wa video na picha zinazoonesha uharibifu wa miundombinu katika mamlaka ya eneo la hifadhi ya Ngorongoro.

Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.

 “Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani