Pluijm atoa onyo Yanga
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa mabingwa wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga, Hans Van Der Pluijm, amewaonya viongozi wa klabu hiyo na kuwataka wahakikishe wanafanya usajili utakaoiletea timu mafanikio na siyo ubabaishaji.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Pluijm alisema kipindi cha usajili kimekuwa na matukio ya ajabu ambayo hupelekea mipango ya mwalimu kuvurugika kutokana na viongozi kufanya maamuzi yao binafsi.
Pluijm ambaye anatarajia kuondoka nchini Jumamosi kuelekea...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1ULBW*XdrfP-wCXKwU8kE0PTCLgEfOtnGG7zoBjJ8eCuGmo3FDNARYIkVjSwFbm8pAMOGThwF-JekAnIX1G-M/pluijm.jpg)
Pluijm atoa siri ya Okwi kuondoka Yanga
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Pluijm awapa onyo waliopo kwa mkopo
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Kijana aliyejiunga na IS atoa onyo
9 years ago
Mwananchi04 Nov
Bayern v Arsenal, Lahm atoa onyo
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Obama atoa onyo kali kwa Urussi
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Mwakifwamba atoa onyo kali kwa wasanii
NA GEORGE KAYALA
RAIS wa Shirikisho la Filamu nchini (TAFF), Simon Mwakifwamba, amewaonya wasanii wa filamu na wale wanaounga mkono Shirikisho hilo kutogombana na amewataka waungane kwa ajili ya kufanya kazi.
Akizungumza na MTANZANIA, Mwakifwamba alisema kuwa kwa muda mrefu kumekuwa na hali ya vuta nikuvute baina ya makundi hayo ya wasanii ugomvi uliochangia kuirudisha nyuma tasnia hiyo
“Tunashukuru ugomvi umeisha, sioni sababu ya wasanii kurudia hiyo tabia ya kutupiana vijembe kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNVZlvYLyCKBewLk7wKyCXWASqAvX2NmchP0PmkdJDbGGt6*c*8ITC6zlzgSOKhmv1lpDkwUCxBGLb7Nnc1ZLl2s/141022063029_isisisilmosul__512x288_ap.jpg?width=650)
KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Nkurunziza atoa onyo kwa wapinzani Burundi
5 years ago
CCM BlogGAMBO ATOA ONYO KWA WAONGOZA UTALII ARUSHA
Tamko hilo kali limekuja baada ya Gambo kutembelea eneo hilo na kujionea uharibifu wa barabara uliofanywa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini.
“Ni marufuku kwa mtu yoyote kusambaza taarifa yoyote kuhusu hifadhi...