Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakwepa madeni ya nje kukiona

WAFANYABIASHARA waliokopeshwa fedha kupitia Mpango Maalumu wa Kuagiza Bidhaa na Malighafi kutoka Nje (CIS) na kukwepa kulipa, sasa ‘wanapumulia mashine’ baada ya serikali kuwabana kulipa madeni yao ndani ya miezi sita kuanzia jana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wasichana 60 wakwepa Boko Haram

Vyombo vya usalama Nigeria vimesema kuwa wasichana 60 wamejikomboa na kukimbia kambi ya Boko Haram walikozuiliwa kwa nguvu

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wakwepa kodi sasa kuanikwa


NA THEODOS MGOMBA NA NJUMAI NGOTA
SERIKALI imewasilisha Bungeni muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi, ambao pamoja na mambo mengine, utaweka utaratibu wa kuwatangaza kwenye vyombo vya habari wakwepa kodi wote.
Akiwasilisha muswada huo bungeni jana, Waziri Fedha, Saada Mkuya Salum, alisema madhumuni ya muswada huo ni kuweka mfumo wa kisasa.
Waziri alisema nia ya kuwatangaza wakwepa kodi hao, ambao watathibitika kufanya hivyo, kutapunguza  makosa sugu na ya makusudi.
Alisema  mfumo huo wa kodi...

 

9 years ago

Mtanzania

Wakwepa kodi walipa bilioni 10/-

6NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imekusanya Sh bilioni 10.75 kati ya Sh bilioni 80 zinazodaiwa kutoka kwa wafanyabiashara waliokwepa kodi kwa kupitisha makontena 329 bila kulipa ushuru.

Fedha hizo zimekusanywa ndani ya siku sita baada ya Rais John Magufuli kukutana na wafanyabiashara Ikulu jijini Dar es Salaam na kuwapa siku saba kulipa fedha hizo kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wakwepa mtego wa CCM

KITENDAWILI cha iwapo wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) watarejea bungeni jana kilishindwa kuteguliwa baada ya mkutano wa mwisho wa kutafuta maridhiano kukwama. Kikao hicho kilichoitishwa na Msajili...

 

10 years ago

Habarileo

Wakwepa kodi sasa kufilisiwa

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya SalumSERIKALI imesoma kwa mara ya pili bungeni, Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi (TAA) wa mwaka 2014, ambapo pamoja na mambo mengine, sheria hiyo itafanya wakwepa kodi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Chadema ‘wakwepa’ mdahalo wa urais

Wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk John Magufuli, pamoja na Edward Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameshindwa kushiriki mdahalo maalum wa wagombea urais ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza pamoja na wadau wengine.

 

10 years ago

Habarileo

TRA: Tutawatupa jela wakwepa kodi

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), Rished Bade amesema hakuna mtu aliye juu ya sheria ya ulipaji kodi halali, hivyo asiyetaka kulipa kodi kwa makusudi lazima atakutana na mkono wa sheria na kutupwa jela.

 

9 years ago

Habarileo

Siku 7 za wakwepa kodi kaa la moto

SIKU moja baada ya Rais John Magufuli, kutoa siku saba kwa wafanyabiashara waliopitisha makontena yao bandarini bila kulipa kodi, kujisalimisha wenyewe na kulipa fedha hizo za Serikali, baadhi ya wafanyabiashara hao tayari wameanza kulipa kodi waliyokwepa.

 

11 years ago

Habarileo

Nchemba- Nipeni taarifa za wakwepa kodi

NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amewaomba wadau katika Sekta ya Usafirishaji na wabunge, kutoa taarifa kuhusu wamiliki wa malori wanaokwepa kodi, ili awachukulie hatua.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani