Asalaam aleikum ndugu zangu, tunapenda kuwakumbusha kuungana nasi Jumamosi hii ya Agosti 22
![](http://1.bp.blogspot.com/-qeVpwR9S_o8/VdFJtkGlssI/AAAAAAAD3dk/mkMyqDrThao/s72-c/b95d97657a50e111d484047726736927.jpg)
Asalaam aleikum ndugu zangu, tunapenda kuwakumbusha kuungana nasi Jumamosi hii ya Agosti 22 kwenye kisomo cha arobaini ya mzee wetu marehemu Abass Khalfan Mang'ulo, itakayofanyika katika msikiti wa Al Baqi 148 Fort Pleasant Street, Springfield, Mass kuanzia saa 10 jioni mpaka saa tatu usiku. Ukipata taarifa hizi tafadhali waarifu na wengine. Kama ilivyo ada tunatanguliza shukran. Wabillah Toufiq.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Q0Pa4RyHSes/VMg9InMGcCI/AAAAAAAAH1Q/sP_NxrcZI2U/s72-c/Darasa%2Bla%2Bkiswahili%2BDMV.jpg)
Darasa la Kiswahili DMV. Jumamosi hii na kila jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q0Pa4RyHSes/VMg9InMGcCI/AAAAAAAAH1Q/sP_NxrcZI2U/s640/Darasa%2Bla%2Bkiswahili%2BDMV.jpg)
Sasa linafanyika kila Jumamosi kuanzia saa 9 kamili alasiri mpaka saa 11 kamili jioni
Anwani ni...
1700 April Lane,
Silver Spring, MD 20904
KARIBUNI NYOTE
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii..
Kwa wale watu wa ‘Ala za Roho’ ya Clouds FM najua jina la Diva sio geni kwao, mtu wa nguvu kabisa ambaye huwa anadondosha love stories kuanzia saa nne usiku Jumatatu mpaka Alhamisi. Love yake inaendelea na yuko tayari kuisogeza kwa watu wengine pia, Christmas ni Ijumaa ijayo, siku chache zimebaki kuifikia lakini mrembo Diva kaona […]
The post Hata wewe unaweza kuungana na Diva the Bawse siku ya Christmas kuikamilisha hii.. appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Bc8y1SjMhcQ/VVEc4KEJFvI/AAAAAAADmtA/skPA_-iEQ3Y/s72-c/11255786_10206667190668321_4069840413929546228_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2gEu6X7oCZs/Vcr3wbhNTrI/AAAAAAAHwKE/Lp1wkp5TtO8/s72-c/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s72-c/michael.jpg)
Michael Agustine Lukindo Mtanzania aliyefariki Wisconsin wanatafutwa ndugu zake - maiti kuchomwa moto Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu zake wanatafutwa. Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka 30. Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa 1989. Familia yake haijui ndugu za Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29, 2014, ila mwili utachomwa. Kama una fununu au kujua lolote kuhusiana na...
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
MICHAEL AGUSTINE LUKINDO MTANZANIA ALIYEFARIKI WISCONSIN WANATAFUTWA NDUGU ZAKE MAITI KUCHOMWA MOTO JUMAMOSI
11 years ago
Mwananchi21 May
Dengue kuwakumbusha usafi wa Mazingira
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2Q-qb-6Nj4M/VcutNyNlcEI/AAAAAAAHwRg/qJJMlzAVx6U/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Watanzania tunapenda matanuzi, hatuogopi madeni