Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKIFWAMBA: SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!

SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!

UKIWATAJA wasanii wakongwe wa tasnia ya filamu wenye umri mkubwa na majina Bongo, hutakosa kumtaja nguli wa filamu, Ahmed Olotu maarufu kama ‘Mzee Chilo.’ Nguli wa filamu, Ahmed Olotu maarufu kama ‘Mzee Chilo.’ Mkongwe huyu mwenye miaka 65 aliyejikita kwenye tasnia ya filamu tangu miaka 10 iliyopita na kujipatia umaarufu mkubwa kupitia Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu iliyokuwa ikirushwa na kituo cha TBC...

 

10 years ago

Mwananchi

Wengi wanaishi na mawe kwenye figo - Dk Akbar Zehri

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan imezindua kampeni ya kupima ugonjwa wa mawe katika figo, ikiwa ni baada ya kubaini kuwa Watanzania wengi wanaishi na maradhi hayo bila kujitambua.

 

9 years ago

Bongo5

Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele

Rapper mkongwe nchini, Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele, amesema wanamuziki wengi wanaweza kuwa hai lakini muziki wao umekufa. Afande ameiambia Bongo5 kuwa muziki umeingiliwa na wasanii wanaofanya biashara ya muziki bila kuwa na wito na kazi hiyo. “Wanamuziki wengi wa zamani wa kizazi kipya hata wale wa zamani akina Mbaraka, Majani wametangulia mbele ya […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

 

10 years ago

CloudsFM

SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.

Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.

 

11 years ago

Mwananchi

Matunda yanavyoendesha maisha ya wengi Dodoma

Watu wamekuwa wakihangaika kwa njia mbalimbali ili waweze kuishi. Mojawapo ya biashara ambayo inaonekana kuwaendeshea wengi maisha ni ile ya matunda na wengi huifanya kwa staili tofauti.

 

10 years ago

Vijimambo

TUKISHIRIKIANA TUTAOKOA MAISHA YA AKINA MAMA WENGI NA WATOTO

Dkt, Andrea Atzori akiwa na Bi. Tully Mwaipopo, Afisa wa Uwakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa mara baada ya uzinduzi wa onyesho hiloBalozi Tuvako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa akizungumza wakati wa uzinduzi wa onyesho la picha lililoandaliwa kwa ubia baina ya Wakilishi za Kudumu za Italia na Tanzania. Onyesho hilo linahusu huduma za afya ya mama na mtoto zinazotolewa na Taasisi isiyo ya kiserikali ya Doctors with Africa CUAMM katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani