MWAKIFWAMBA: SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!
![](http://api.ning.com:80/files/72Jod1iYAGGKyz8ZQNhOfUZs5Y0n39FqIwa*Whf-l-NCQ38gRlmRh8nksK*em82ziBaKYu*E3kc8tOi3aCCxGxMPN7vgwoFJ/mwaki.jpg?width=650)
SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-AsJ1I5osPcRz5UVySI3i2LWAOtK5MgeCZWLdoN0pj2OTM2vUMAxquUn3hYfa-gvk*kNBpIaxCW8qaTfzeMgZgm/chilo.jpg?width=650)
MIAKA 10 KWENYE GEMU MZEE CHILO: SANAA HAILIPI!
10 years ago
Mwananchi31 May
Wengi wanaishi na mawe kwenye figo - Dk Akbar Zehri
9 years ago
Bongo528 Sep
Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele
10 years ago
Dewji Blog27 Mar
Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/03/DSC_00811.jpg?width=640)
ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI
10 years ago
CloudsFM23 Jan
SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.
Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.
’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.
10 years ago
GPL01 Jun
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Matunda yanavyoendesha maisha ya wengi Dodoma
10 years ago
VijimamboTUKISHIRIKIANA TUTAOKOA MAISHA YA AKINA MAMA WENGI NA WATOTO