Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wengi wanaishi na mawe kwenye figo - Dk Akbar Zehri

Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan imezindua kampeni ya kupima ugonjwa wa mawe katika figo, ikiwa ni baada ya kubaini kuwa Watanzania wengi wanaishi na maradhi hayo bila kujitambua.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO (KIDNEY STONES)-2

Nisiku nyingine tena, na ni imani yangu mu wazima wa afya njema wapenzi wasomaji wangu wa makala hii. Wiki iliyopita hatukumaliza kuzungumzia tatizo la mawe kwenye figo (kidney stones), leo tunaendelea na sehemu ya mwisho, fuatana nami. Ulaji wa matunda ni njia mojawapo inayosaidia kuepukana na tatizo hili, matunda kama vile tikiti maji, mananasi na matunda mengine yanayopunguza sumu mwilini yanamchango mkubwa sana katika...

 

5 years ago

CCM Blog

MLOGANZILA YAANZA RASMI HUDUMA ZA KUVUNJA MAWE KWENYE FIGO

  Na Lightness Mndeme, MuhimbiliHospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imeanza kutoa huduma ya matibabu ya kuvunja mawe kwenye figo na mfumo wa mkojo kwa njia ya mawimbi mshituko kwa kitaalam Extracorporeal shock wave lithotripsy (ESWL).
Kuanzishwa kwa matibabu haya ni mwendelezo wa kutekeleza juhudi za Serikali za kuboresha huduma bobezi za kibingwa nchini ili kuongeza wigo wa huduma ambazo hapo awali zilikuwa hazipatikani hapa nchini kutokana na kutokuwepo kwa wataalamu, vifaa tiba au...

 

5 years ago

Michuzi

MLOGANZILA YAANZISHA RASMI HUDUMA ZA KUVUNJA MAWE KWENYE FIGO

Pichani ni muonekano wa jiwe kabla halijavunjwa kwa kutumia teknolojia maalumu ya kuvunja mawe.
Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Lawrence Museru akielezea kuanzishwa kwa huduma mpya ya matibabu ya kuvunja mawe kwenye figo na mfumo wa mkojo kwa njia ya mawimbi mshituko, kulia ni Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi akifuatiwa na Daktari Bingwa wa Upasuaji Mfumo wa Mkojo Dkt. Hamis Isaka na kushoto ni Dkt. Isaack MlatieWataalam...

 

11 years ago

GPL

MWAKIFWAMBA: SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!

SOKO la filamu limekua, maisha ya vijana wengi yamebadilika kutokana na sanaa hiyo. Hata hivyo bado kuna changamoto kadhaa; malipo ya wasanii na mikataba mibovu imeendelea kuwa kilio kwao. Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania ‘TAFF’, Simon Mwakifwamba Hilo linawafanya waendelee kubaki palepale licha ya kupanda kwa hatua nyingi takriban miaka saba iliyopita. Sinema kwa sasa, imebaki kuwa na manufaa zaidi kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Wanamuziki wengi bado wanaishi lakini muziki umekufa — Afande Sele

Rapper mkongwe nchini, Seleman Msindi maarufu kama Afande Sele, amesema wanamuziki wengi wanaweza kuwa hai lakini muziki wao umekufa. Afande ameiambia Bongo5 kuwa muziki umeingiliwa na wasanii wanaofanya biashara ya muziki bila kuwa na wito na kazi hiyo. “Wanamuziki wengi wa zamani wa kizazi kipya hata wale wa zamani akina Mbaraka, Majani wametangulia mbele ya […]

 

11 years ago

KwanzaJamii

Wengi wanaathirika na vumbi la mkaa wa mawe

Na Albano Midelo “Kwa miaka minne mfululizo maelfu ya tani za mkaa wa mawe umekuwa unasombwa na maji  toka katika kijiji changu cha Ndumbi hadi ndani ya ziwa Nyasa,wananchi wanatumia maji hayo kwa ajili ya kunywa’’,anasema mwenyekiti wa kijiji cha Ndumbi wilayani Nyasa mkoani Ruvuma James Mbawala Alisema kampuni ya mkaa wa mawe ya TANCOAL ambayo inachimba mkaa wa mawe katika eneo la Ngaka wilayani Mbinga ndiyo inayoitumia bandari ya Ndumbi ziwa Nyasa kwa ajili ya kusafirishia mkaa wa mawe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Je utakubali figo iliyokuzwa kwenye maabara ?

Wanasayansi wanakaribia kuunda figo zitakazo pandikizwa kwenye miili ya wagonjwa na watu wenye matatizo ya figo.

 

10 years ago

Vijimambo

WENGI WASHIRIKI KWENYE MASHIZI YA MKE WA JOHN KITIME KWENYE MAKABURI YA KINONDONI,JIJINI DAR LEO

 Umati wa waombolezaji ulioshiriki kwenye mazishi ya Mke wa Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini,Bw. John Kitime,Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime alizikwa leo kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam.Taratibu za mazishi zikiendelea kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es salaam leo. Mume wa  Marehemu Janeth Joan Chidosa Kitime,Bw. John Kitime akitoka kuweka shada la maua kwenye kaburi la mkewe wakati wa mazishi yaliyofanyika jioni hii kwenye makaburi ya Kinondoni,jijini Dar es...

 

9 years ago

Bongo5

Ripoti: Ndoa ya David na Victoria Beckham ipo kwenye mawe

David na Victoria Beckham huenda wakawa wanakaribia kupeana talaka baada ya tetesi za muda mrefu kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe kuongezeka zaidi. Wawili hao hivi karibuni walionekana wakibishana kwa sauti za juu kwenye tukio moja kwa mujibu wa jarida la OK! Ripoti hiyo inadai kuwa wakati wawili hao wanatoka kwenye uzinduzi wa moja ya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani