Je utakubali figo iliyokuzwa kwenye maabara ?
Wanasayansi wanakaribia kuunda figo zitakazo pandikizwa kwenye miili ya wagonjwa na watu wenye matatizo ya figo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9ogPcx3V9qJbOAMcCvpyZoVMGVgnRzr1mgMit-pBi6U3LJklplWcqZnHlVC5E332cgXZmpYMTAKjjTazPpLMuls/Blausen_0595_KidneyStones.png?width=650)
TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO (KIDNEY STONES)-2
Nisiku nyingine tena, na ni imani yangu mu wazima wa afya njema wapenzi wasomaji wangu wa makala hii. Wiki iliyopita hatukumaliza kuzungumzia tatizo la mawe kwenye figo (kidney stones), leo tunaendelea na sehemu ya mwisho, fuatana nami. Ulaji wa matunda ni njia mojawapo inayosaidia kuepukana na tatizo hili, matunda kama vile tikiti maji, mananasi na matunda mengine yanayopunguza sumu mwilini yanamchango mkubwa sana katika...
10 years ago
Mwananchi31 May
Wengi wanaishi na mawe kwenye figo - Dk Akbar Zehri
Dar es Salaam. Hospitali ya Aga Khan imezindua kampeni ya kupima ugonjwa wa mawe katika figo, ikiwa ni baada ya kubaini kuwa Watanzania wengi wanaishi na maradhi hayo bila kujitambua.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-JGjsuH4Says/XuxJKmN2bJI/AAAAAAAC76U/V3b7yIEINQU1RjmYKRnbicaVE_aebnS2QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MLOGANZILA YAANZA RASMI HUDUMA ZA KUVUNJA MAWE KWENYE FIGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-JGjsuH4Says/XuxJKmN2bJI/AAAAAAAC76U/V3b7yIEINQU1RjmYKRnbicaVE_aebnS2QCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Kuanzishwa kwa matibabu haya ni mwendelezo wa kutekeleza juhudi za Serikali za kuboresha huduma bobezi za kibingwa nchini ili kuongeza wigo wa huduma ambazo hapo awali zilikuwa hazipatikani hapa nchini kutokana na kutokuwepo kwa wataalamu, vifaa tiba au...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jkTkMfgSVM4/XuvZ2mMUCJI/AAAAAAALugg/o0kKuwqPoTQePymIqi4MIWq4AfQKrAz-ACLcBGAsYHQ/s72-c/70df5eed-93f9-4a76-86cb-b4dc94c144f3-768x459.jpg)
MLOGANZILA YAANZISHA RASMI HUDUMA ZA KUVUNJA MAWE KWENYE FIGO
![](https://1.bp.blogspot.com/-jkTkMfgSVM4/XuvZ2mMUCJI/AAAAAAALugg/o0kKuwqPoTQePymIqi4MIWq4AfQKrAz-ACLcBGAsYHQ/s640/70df5eed-93f9-4a76-86cb-b4dc94c144f3-768x459.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/213ec133-d2c0-41b0-b620-239d1fef8c13-1024x592.jpg)
Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Lawrence Museru akielezea kuanzishwa kwa huduma mpya ya matibabu ya kuvunja mawe kwenye figo na mfumo wa mkojo kwa njia ya mawimbi mshituko, kulia ni Kaimu Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi akifuatiwa na Daktari Bingwa wa Upasuaji Mfumo wa Mkojo Dkt. Hamis Isaka na kushoto ni Dkt. Isaack Mlatie
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/0587c9c6-9bd2-42d2-82a8-478f9bab5746-1024x683.jpg)
10 years ago
Habarileo08 Sep
Walimu kuhamishiwa kwenye shule zilizokamilisha maabara
SERIKALI mkoani Singida inakusudia kumwomba Waziri Mkuu Mizengo Pinda ruhusa ya kuhamisha walimu wa sayansi walioko kwenye kata zisizo na maabara na kuwapeleka kwenye kata zilizokamilisha ujenzi wa maabara.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Je utakubali kuigiza mazishi yako ?
Wafanyikazi Korea Kusini wanaigiza mazishi yao katika mpango unaolenga kupunguza msongo wa mawazo na idadi kubwa ya kujitia kitanzi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vtfm1SMI5BY/VTrRRuloquI/AAAAAAADkD4/vW1BH4PHhc4/s72-c/11130171_789861154424620_5078686899563051160_n.jpg)
PITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-vtfm1SMI5BY/VTrRRuloquI/AAAAAAADkD4/vW1BH4PHhc4/s1600/11130171_789861154424620_5078686899563051160_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FskPCzrmFIw/VTrRR63YM-I/AAAAAAADkEA/Vt90QYbPh8k/s1600/11136769_789467821130620_7282696978165091047_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bs6zlRzkyD4/VTrRSW_XFKI/AAAAAAADkEI/0895Ppq03yo/s1600/11146283_789896301087772_7784194555088667492_n.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Jan
Kuna tofauti ya maabara na majengo ya maabara
Desemba 9 mwaka jana ndiyo ulikuwa mwisho wa utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete kuhusu ujenzi wa maabara katika shule za sekondari za Serikali nchi nzima.
10 years ago
MichuziUJENZI WA MAABARA: MAHIZA AWATAKA WAKUU WA IDARA WASIKAE OFISINI WAENDE KWENYE KATA,ATAKA MADIWANI WAAHIRISHE VIKAO VYAO HADI UJENZI UTAKAPOKAMILIKA
SUALA la Maabara kwa shule za Sekondari za Kata limeingia kwenye hatua nzito baada ya mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza kuiacha ofisi yake na kuhamia Wilaya ya Bagamoyo ili kuhakikisha agizo la Rais Dk Jakaya Kikwete la kila wilaya iwe imekamilisha ujenzi huo ifikapo Novemba 30 mwaka huu.
Sambamba na hilo mkuu huyo amewataka wakuu wa idara wa Wilaya hiyo kila mmoja kutokaa ofisini na kuchagua kata ya kwenda ili kusimamia ujenzi huo hadi ujenzi wa maabara...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania