Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je utakubali kuigiza mazishi yako ?

Wafanyikazi Korea Kusini wanaigiza mazishi yao katika mpango unaolenga kupunguza msongo wa mawazo na idadi kubwa ya kujitia kitanzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

10 years ago

GPL

JIDE KWENYE HILI LA MAZISHI YAKO MI’ SIKUELEWI!

SIKU zote amekuwa mfano bora kabisa wa msichana aliyeamini kubadili maisha kupitia kipaji na kujituma kwake, kwani wakati wasichana wengi wa kizazi chake katika muziki wa Bongo Fleva wakibakia kuwa historia, Judith Mbibo, tunayemfahamu sana kama Lady Jaydee, ameendelea kuwa juu kisanaa na bila shaka, kimaisha. Tutakuwa tunapoteza nafasi kama tutaanza kujadili kazi gani alizofanya, zipi zilimpatia jina na nini alichokipata...

 

10 years ago

CloudsFM

SHAMSA FORD:FILAMU YA ‘I HATE MY WIFE’ ILIKUWA NI NGUMU SANA KWANGU KUIGIZA,KWA SABABU YA KUIGIZA KICHAWI.

Msanii wa filamu za Kibongo,Shemsa Ford amefunguka kati ya filamu iliyompa wakati mgumu wakiwa ‘’location’ ni filamu ya I hate my wife kwani aliigiza kama mke mchawi anayemroga mumewe.’Yaani kati ya filamu iliyonipa wakati mgumu kuigiza ni wakati naigiza filamu ya I hate my wife kutokana na kuigiza kama mchawi mshabiki walijua kuwa ndiyo tabia yangu lakini pia kuvaa uhusika wa kiuchawi ni ngumu sana’’alisema Shemsa Ford.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je utakubali figo iliyokuzwa kwenye maabara ?

Wanasayansi wanakaribia kuunda figo zitakazo pandikizwa kwenye miili ya wagonjwa na watu wenye matatizo ya figo.

 

10 years ago

Vijimambo

PITIA HIZI PICHA NA UTAKUBALI KUWA MAZOEZI NI DAWA YA MWILI



 Dulla kijana wa Kitanzania aliejengeka mwili vilivyo kutokana na mazoezi na kula chakula kwa mpangilio. Kama unavyoona Dulla akiwa Gym ndani jiji la wasiolala New York anakoishi.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?

Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?

 

10 years ago

Mwananchi

Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?

“Watu waangalie nini nafanya, burudani gani ninawapa lakini maisha yangu hayawahusu.”

 

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Ukiona Jirani Anafaidika Na Mali Yako....Jua Kuna Mchawi Ndani Ya Nyumba Yako-Lulu

Kwa upande wa fasheni hakuna anebisha kuwa  mrembo na mwigizaji wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ni DIVA wa ukweli kwa hapa Bongo na Afrika, Akitupia picha hizi Lulu aliandika msomo huu,

“Ukiona jirani anafaidika na mali yako....jua kuna mchawi ndani ya nyumba yako”

Mimi sijui alikuwa anamaanisha nini, lakini nadhani kila mtu anaweza kutafsiri kwa namna alivyo muelewa.Jambo la msingi jionee picha hizo alizopigwa na Slide Visuals..Enjoy!!

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani