JIDE KWENYE HILI LA MAZISHI YAKO MI’ SIKUELEWI!
![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3Vi7Nb*ThXX1Qqdn3*6nah2eKr6tgkl9o9FMQbzc0CWKUICaNZgwpejCIYG9XESlM2W6Vnd6v5Lz*zboOJLVRypd/MAMAWEMA.jpg)
SIKU zote amekuwa mfano bora kabisa wa msichana aliyeamini kubadili maisha kupitia kipaji na kujituma kwake, kwani wakati wasichana wengi wa kizazi chake katika muziki wa Bongo Fleva wakibakia kuwa historia, Judith Mbibo, tunayemfahamu sana kama Lady Jaydee, ameendelea kuwa juu kisanaa na bila shaka, kimaisha. Tutakuwa tunapoteza nafasi kama tutaanza kujadili kazi gani alizofanya, zipi zilimpatia jina na nini alichokipata...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y8Xf2kBXWFn*2M4PbPCnBrgLsNuHmZVq3lri5iOkqAxDI6qJpODlZxOhmQvduaSLNKo785MPspvpEti1NMiaFfhOd7WWFHrw/julianadidone3.jpg)
SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-GUszT2dySxk/U84MVo69zRI/AAAAAAAABak/7TyyNtaehu0/s72-c/PAGE+1.jpg)
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Mazishi ya Mandela: Kauli yako
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Je utakubali kuigiza mazishi yako ?
10 years ago
Bongo Movies19 Jun
Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako
"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri
Monalisa on Instagram
10 years ago
Bongo Movies27 Dec
PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu
Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.
“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”
Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.
Jionee picha hizo.
By Mzee wa Ubuyu
9 years ago
Bongo501 Oct
Wema Sepetu amlilia Kanumba kwenye hili
9 years ago
Bongo Movies29 Dec
JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli
![JB na Diana Kimaro](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/jb533.jpg)
JB Akiwa na Diana Kimaro
Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.
Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.
Jacob Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram
10 years ago
GPL![](http://www.ikulu.go.tz/files/publications/photos/111111.jpg?width=650)
HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?