Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JIDE KWENYE HILI LA MAZISHI YAKO MI’ SIKUELEWI!

SIKU zote amekuwa mfano bora kabisa wa msichana aliyeamini kubadili maisha kupitia kipaji na kujituma kwake, kwani wakati wasichana wengi wa kizazi chake katika muziki wa Bongo Fleva wakibakia kuwa historia, Judith Mbibo, tunayemfahamu sana kama Lady Jaydee, ameendelea kuwa juu kisanaa na bila shaka, kimaisha. Tutakuwa tunapoteza nafasi kama tutaanza kujadili kazi gani alizofanya, zipi zilimpatia jina na nini alichokipata...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

11 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Mandela: Kauli yako

Haya ni matukio kama yanavyojiri kwenye mazishi ya hayati Nelson Mandela. Na wewe una fursa ya kutoa kauli yako kuhusu matuiko haya

 

9 years ago

BBCSwahili

Je utakubali kuigiza mazishi yako ?

Wafanyikazi Korea Kusini wanaigiza mazishi yao katika mpango unaolenga kupunguza msongo wa mawazo na idadi kubwa ya kujitia kitanzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ujumbe: Kama Wewe ni Kijana, Monalisa Ana Hili Kwa Ajili Yako

"Kijana,ichunge sana LEO yako.Hujui kESHO utafanya nini au utakuwa nani.KESHO itakapofika watu watakuhukumu kwa JANA yako ambayo ni LEO.Chunga sana LEO yako ndio inayokutengenezea KESHO yako." YVONNE CHERRIE
Roho yangu imenisukuma tu kukuandikia ujumbe huu..pengine nitaokoa LEO ya mtu fulani..Kila la kheri 

Monalisa on Instagram

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu amlilia Kanumba kwenye hili

Wema Sepetu amedai hakuna msanii aliyejaribu kuendeleza juhudi za marehemu Steven Kanumba ili kuipeleka tasnia ya filamu kimataifa. Wema ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa wapo waliojaribu lakini bado wanahitaji kuungwa mkono. “Hilo limekwamia hapo na sifahamu kama tutaweza kujikongoja tena, wapo tunaojaribu lakini bado tunahitaji kuungwa mkono sana kuhakikisha tunafanya kama alivyofanya yeye,” alisema Wema. […]

 

9 years ago

Bongo Movies

JB Huwa Anatumia Jina Hili Kwenye Kazi za Kitapeli

JB  na Diana Kimaro

JB Akiwa na Diana Kimaro

Erick ford, ni jina ninalo litumia kwenye filamu zangu za kitapeli, ni muendelezo wa filam za kitapeli ninazo zifanya mara kwa mara. Nilianza na Signature ikafuata Senior Bachelor halafu Mzee wa Swaga kote nilitumia Erick ford.

Mwezi wa pili tutakuja na filamu ya namna hizo inaitwa…Kalambati Lobo, safari hii nimemshirikisha Diana kimaro.

Jacob  Stephen ‘JB’ @ jb_jerusalemfilms on Instagram

 

10 years ago

GPL

HIVI KUNA HILA GANI KWENYE HILI LA KATIBA MPYA?

Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samweli Sita akisalimiana na rais Jakaya Mrisho Kikwete.
MWAKA huu unaingia katika historia ya nchi yetu moja kwa moja pasipo maswali. Tofauti na wakati mwingine, mwaka huu una uwezekano wa kupitisha matukio makubwa mawili, ambayo kwa namna yoyote, yanaweza kuharibu au kuimarisha taifa letu lenye umri wa miaka 50 tangu lipate uhuru wake. Tukio moja tumelizoea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani