Matunda yanavyoendesha maisha ya wengi Dodoma
Watu wamekuwa wakihangaika kwa njia mbalimbali ili waweze kuishi. Mojawapo ya biashara ambayo inaonekana kuwaendeshea wengi maisha ni ile ya matunda na wengi huifanya kwa staili tofauti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Matunda na Mboga zinaokoa maisha
11 years ago
MichuziNyota wa WIKI: WILLY MATUNDA, mjasiriamali mbunifu wa dodoma
Msaidizi wa Willy Matunda akiandaa 'duka' la matunda linalotembea nje ya hoteli ya Zahir katika mtaa wa Mtendeni mjini Dodoma.
Willy Matunda mwenyewe akiandaa matunda kwa ajili ya wateja wake. Huyu bwana anasifika sio tu kwa kuwa na matunda fresh kila siku pamoja na usafi bali pia kwa kupania kufanya watu wale matunda sana, sio kungoja hadi mtu alazwe hospitali kwanza ndipo ale...
Duka litembealo la Willy Matnda
Wateja kibao kwa Willy Matunda ambaye ameihamasisha Globu ya Jamii...
10 years ago
VijimamboTUKISHIRIKIANA TUTAOKOA MAISHA YA AKINA MAMA WENGI NA WATOTO
11 years ago
GPLMWAKIFWAMBA: SANAA HAILIPI, WENGI WANAISHI MAISHA YA KUIGIZA!
9 years ago
Bongo530 Oct
Daz Baba adai wasanii wengi wa Bongo ‘Wanafeki maisha’
9 years ago
StarTV26 Nov
Maisha bora uzeeni  Wazee wengi nchini walalamikia kutelekezwa
Licha ya Serikali na wadau mbalimbali kuweka mikakati ya kuwahudumia wazee kwa kuwapatia pensheni, mazingira bora ya makazi na matibabu, wazee wengi nchini wanakabiliwa na matatizo mengi ambayo yanadaiwa kuwakatisha tamaa kutokana na kutelekezwa na kutothamini na jamii licha ya kulitumikia Taifa wakati wa ujana wao.
Kilio kikubwa cha wazee hao ni kutokupata huduma au usaidizi pindi wanapopata matatizo.
Baadhi ya Wazee wengi nchini hasa waishio vijijini bado wanakabiliwa na...
9 years ago
Dewji Blog06 Dec
Vijana wengi wapata mafunzo juu ya maisha na kujiajili katika Kongamano la Msafara lililofanyika UDSM
Msanii wa sanaa za Maonesho Vanensia Shule, ambaye pia ni Mkufunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam upande wa sanaa na Filamu akielezea jinsi Sanaa inavyoweza kumkomboa kijana na...
11 years ago
MichuziElimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Kauli zilizovuta hisia ya wengi Bunge Maalum la Katiba Dodoma