Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Talaka zazidi kuwatesa watoto, wanawake Z’bar

>Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na Watoto, Zainab Omar Mohammed  amesema wimbi la ndoa kuvunjika visiwani hapa limekuwa likisababisha familia nyingi kuishi katika mazingira magumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dawa za kulevya zazidi kuwatesa vijana

Kwa miaka mingi vita dhidi ya mihadarati nchini Kenya imeendelea,wanaoathirika zaidi ni vijana,taarifa zaidi na John Nene

 

11 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA&UTAFITI: Wanawake wanapolaumiwa kwa kuwatesa wanaume

Imezoeleka kusikia kwamba wanawake ndio wanaonyanyaswa; sasa taarifa mpya ni kwamba idadi ya wanaume wanaonyanyaswa na wanawake nchini inaongezeka.

 

10 years ago

Vijimambo

Talaka Hupelekea Ugonjwa wa Mshtuko wa Moyo Hasa kwa Wanawake


Watu walio katika talaka wana uwezekano mkubwa wa kupatwa na ugonjwa wa mshtuko wa moyo ukilinganisha na wenzao ambao bado wako katika ndoa ,kulingana na utafiti nchini Marekani.Utafiti uliofanyiwa watu 15,827 unaonyesha kuwa wanawake ndio walioathirika zaidi na kwamba hupunguza hatari hiyo baada ya kuolewa tena.Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Journal unasema kuwa msongo wa mawazo kupitia kiasi unaohusishwa na talaka una athari za mda mrefu katika mwili.

Wakfu wa moyo nchini...

 

9 years ago

Habarileo

Kamati yasaka timu za wanawake Z’bar

KAMATI ya Maendeleo ya Soka la Wanawake imesema kuwa inajipanga kuelekeza nguvu zake vijijini ili kuongeza idadi ya timu za mchezo huo kwa wanawake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar

TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto wafelishwa na nini Z'bar?

Wanafunzi wa shule ya msingi Mitulaya waeleza changamoto zinazowakabili na hatimae kujibiwa na viongozi wao

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Watoto, wafu waandikishwa kupiga kura Z’bar

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimetoa matokeo ya utafiti wake kuhusu Daftari la Wapiga Kura Zanzibar ikieleza kuwa watoto wasiotimiza umri wa miaka 18 na watu waliofariki dunia, majina yao yanaendelea kutumika katika dafrati hilo huku Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) ikikaa kimya.
Kutokana na hali hiyo CUF kimesema kinashangazwa na hatua ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuandaa mipango kinayodai ni ya kuendelea kuhujumu upigaji kura kwa kutumia vyombo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani