Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati yasaka timu za wanawake Z’bar

KAMATI ya Maendeleo ya Soka la Wanawake imesema kuwa inajipanga kuelekeza nguvu zake vijijini ili kuongeza idadi ya timu za mchezo huo kwa wanawake.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Z’bar yasaka fedha kulinda ubora

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema inahitaji Sh12 bilioni kufanikisha kuondoa tatizo la ukosefu wa maabara za kuchunguza viwango vya ubora wa bidhaa zinazoingizwa hapa kabla ya kuuzwa katika soko la ndani la Zanzibar.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI

 Wananchi wakishuhudia mchezo ukiendelea ikiwa umedhaminiwa na Mtandao wa simu wa Smart katika viwanja vya Mkuranga mkoani pwani baadha ya mpira kumalizika ndipo Mkizi Mnene Bar  kwa Bar ulipoaaza kuchezwa mkoani Pwani mwishoni mwa wiki.  Wachezaji wa timu ya EFM na Mkuranga Veteran wakiendelea kusakata kabumbu ndani ya viwanga vya Mkuranga Mkoani Pwani.Picha ya pamoja ya Timu  ya Mpira wa miguu ya EFM  na Mkuranga Veteran iliyo cheza katika viwanja vya Mkuranga mkoani Pwani, mashindano...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM Z’bar yaunda ‘timu ya ushindi’

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM, Zanzibar iliyokutana mchana jana, Kisiwandui imeunda timu ya kampeni za uchaguzi.

 

9 years ago

StarTV

Wachezaji wa zamani wa timu za Taifa Bara na Z’bar kucheza mchezo maalum.  

 Wachezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na wachezaji wa zamani wa timu ya Zanzibar Heroes watacheza mechi ya kirafiki December 09 mwaka huu kwa Lengo la kuhamasisha amani katika visiwani Zanzibar.

Mechi hiyo itapigwa katika Uwanja wa Amani ambapo pande zinazotofautiana kisiasa zitaalikwa ili kuzungumza na wanachama kuwa watulivu kipindi hiki ambapo suluhu inatafutwa.

Wakati huohuo michuano ya kuwania kombe la Challenge inaendelea huko nchini Ethiopia,timu ya Kilimnajaro...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tafiti za bahari zasaidia wanawake Z’bar

TAASISI ya Sayansi za Baharini (IMS) ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam visiwani Zanzibar imesema tafiti za maliasili ya bahari zimesaidia kupunguza tatizo la kadhia ya umasikini kwa wanawake...

 

10 years ago

Mwananchi

Talaka zazidi kuwatesa watoto, wanawake Z’bar

>Waziri wa Uwezeshaji, Ustawi wa Jamii, Vijana, Wanawake na Watoto, Zainab Omar Mohammed  amesema wimbi la ndoa kuvunjika visiwani hapa limekuwa likisababisha familia nyingi kuishi katika mazingira magumu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Asilimia 40 ya wanawake Z’bar wanaishi maisha duni

DSC_0081

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki.

Na Mwandishi wetu, Zanzibar

UTAFITI uliofanywa  na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women  umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya umasikini kwa kutojitambua na kukosa...

 

10 years ago

GPL

ASILIMIA 40 YA WANAWAKE Z’BAR WANAISHI MAISHA DUNI‏

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi (aliyefunikwa mwamvuli) akiwasili kwenye sherehe ya siku ya wanawake duniani iliyoandaliwa na Zanzibalicious Women Group na kufanyika ndani ya ukumbi wa Salama, Bwawani Hotel mwishoni mwa wiki. UTAFITI uliofanywa na taasisi ya wanawake nchini Zanzibar ya Zanzibalicious Women umeonyesha kuwa asilimia 40 ya wanawake Zanzibar, wanaishi katika mazingira duni ya...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA KAMATI YA AMANI YA VIONGOZI WA DINI YAJIFUA NA MABALOZI, YAKABIDHIWA MIPIRA

 Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad Mussa Salum (wa tatu kushoto) na wenzake wakichezea mpira kujaribu viwango vya mipira hiyo baada ya kukabidhiwa na Kamanda wa kanda maalumu ya Dar es Salaam, suleiman Kova (wa pili kulia), wakati wa mazoezi ya timu ya Kamati ya Amani inayoundwa na Viongozi wa Dini. Mazoezi hayo yalifanyika leo asubuhi kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, sambamba na timu ya Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zaoTanzania,kwa ajili ya maandalizi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani