Zitto ahoji ahadi ya CCM ya Sh50 milioni kila kijiji
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema ahadi ya CCM ya kutoa mgao wa Sh50milioni kwa kila kijiji nchini, ni dalili za kutawanya ufisadi kwa kutumia fedha hizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Ahadi ya milioni 50 kila kijiji yaanza kufuatiliwa
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WIZARA ya Viwanda na Biashara imeanza kupigia chapuo ahadi iliyotolewa na Rais Dk. John Magufuli wakati wa kampeni, kupeleka mgao wa Sh milioni 50 kila kijiji nchini kote.
Wizara hiyo imeshauri fedha hizo zilizoahidiwa na Rais Magufuli zipelekwe kwa wananchi mapema ili wakopeshwe waweze kuanzisha miradi.
Akizungumza Dar es Salaam jana kuhusu maadhimisho ya Siku ya Viwanda Duniani, ambayo yanatarajiwa kufanyika Novemba 20, mwaka huu, Katibu Mkuu wa wizara...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Sh50 milioni zasaidia watoto
10 years ago
Habarileo23 Nov
DC ahoji ahadi ya ununuzi wa mpunga isiyotekelezeka
MKUU wa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Anthony Mtaka, ameikumbusha Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kutekeleza ahadi ambayo imeitoa kwa wakulima wa wilaya hiyo kuwa itanunua tani 3,000 za mpunga na mahindi.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni
MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WA TSH MILIONI 40 KIJIJI CHA MAVANGA ASEMA CCM SI MBAYA WABAYA WATU
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Zitto ahoji Malecela kutokwenda Afrika Kusini
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amehoji Wizara ya Mambo ya Nje kwa kushindwa kuratibu safari ya Waziri Mkuu Msaafu, John Malecela, kuambatana na Rais katika Misa ya kumuaga...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s72-c/UB+4.jpg)
KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-6QzVEOciBno/Uyr6tv8tyaI/AAAAAAACdDE/QrPusb8lDRs/s1600/UB+4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QZDqllaCHE/Uyr6t8geP2I/AAAAAAACdDI/utbvAvqj7B4/s1600/UB+5.jpg)