Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto ahoji ahadi ya CCM ya Sh50 milioni kila kijiji

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema ahadi ya CCM ya kutoa mgao wa Sh50milioni kwa kila kijiji nchini, ni dalili za kutawanya ufisadi kwa kutumia fedha hizo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Ahadi ya milioni 50 kila kijiji yaanza kufuatiliwa

ulediNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

WIZARA ya Viwanda na Biashara imeanza kupigia chapuo ahadi iliyotolewa na Rais Dk. John Magufuli wakati wa kampeni, kupeleka mgao wa Sh milioni 50 kila kijiji nchini kote.

Wizara hiyo imeshauri fedha hizo zilizoahidiwa na Rais Magufuli zipelekwe kwa wananchi mapema ili wakopeshwe waweze kuanzisha miradi.

Akizungumza Dar es Salaam jana kuhusu maadhimisho ya Siku ya Viwanda Duniani, ambayo yanatarajiwa kufanyika Novemba 20, mwaka huu, Katibu Mkuu wa wizara...

 

10 years ago

Raia Mwema

Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Sh50 milioni zasaidia watoto

Idara ya Ustawi wa Jamaii katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida mkoani hapa, imetumia Sh50 milioni kuhudumia watoto mbalimbali waishio kwenye mazingira hatarishi katika manispaa hiyo katika kipindi cha mwaka wa fedha 2013/14.

 

10 years ago

Habarileo

DC ahoji ahadi ya ununuzi wa mpunga isiyotekelezeka

MKUU wa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Anthony Mtaka, ameikumbusha Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kutekeleza ahadi ambayo imeitoa kwa wakulima wa wilaya hiyo kuwa itanunua tani 3,000 za mpunga na mahindi.

 

10 years ago

Mwananchi

UHAMISHO:Kumsajili Singano ‘Messi’ Sh50 milioni

Klabu ya Simba inatakiwa kufanya kazi kubwa na kufungua pochi ili kumshawishi mshambuliaji wake iliye na mgogoro naye wa kimkataba, Ramadhani Singano ‘Messi’ anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni

MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...

 

10 years ago

GPL

FILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WA TSH MILIONI 40 KIJIJI CHA MAVANGA ASEMA CCM SI MBAYA WABAYA WATU

Mbunge wa Jimbo la  Ludewa, Deo Filikunjombe akiwahutubia wakazi wa Kijiji  cha Mavanga wilayani Ludewa muda mfupi baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Tsh milioni 40 katika  kijiji hicho.   Viongozi  wa Kijiji  cha Mavanga  akiwemo mwenyekiti wa kijiji, Bw. Hilmar Mpambichaka (Chadema) kulia  wakipokea misaada ya vifaa vya  ujenzi  toka kwa mbunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto ahoji Malecela kutokwenda Afrika Kusini

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amehoji Wizara ya Mambo ya Nje kwa kushindwa kuratibu safari ya Waziri Mkuu Msaafu, John Malecela, kuambatana na Rais katika Misa ya kumuaga...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA CCM JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA KIJIJI KWA KIJIJI

  Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Pwani,Mwishehe Shaban Mlawa akimnadi Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika kwenye kijiji cha Misakazi,Kata ya Ubena ndani ya Jimbo la Chalinze leo Machi 20, 2014   Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze (CCM),Ridhiwani Jakaya Kikwete (katikati) akitambulishwa na Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwidu,Mzee Mohamed Said kwa Bw. Chomiki kutoka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani