DC ahoji ahadi ya ununuzi wa mpunga isiyotekelezeka
MKUU wa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, Anthony Mtaka, ameikumbusha Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kutekeleza ahadi ambayo imeitoa kwa wakulima wa wilaya hiyo kuwa itanunua tani 3,000 za mpunga na mahindi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Mbunge ahoji utekelezaji ahadi kwenye kampeni
MBUNGE wa Viti Maalumu, Pauline Gekul (CHADEMA), ameihoji serikali kama ni halali kwa mgombea kutekeleza ahadi alizozitoa siku za nyuma wakati kampeni zikiendelea katika uchaguzi mdogo. Akiuliza swali bungeni jana,...
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Zitto ahoji ahadi ya CCM ya Sh50 milioni kila kijiji
9 years ago
Mwananchi04 Oct
KONA YA MAKENGEZA : Ahadi za nani zitatufikisha kwenye nchi ya ahadi?
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Ahadi, ahadi sasa zimetosha kwenye klabu
11 years ago
Habarileo11 Jul
Kipaumbele kwenye mpunga, miwa
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.
11 years ago
Habarileo09 Jul
Pumba za mpunga kutengeneza matofali
PUMBA za mchele zimebainika zikichanganywa na saruji kidogo, zina uwezo wa kutengeneza matofali imara. Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), umebaini hayo kupitia tafiti mbalimbali ilizofanya.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-d-Q50Mk70tU/Ux2NAcuWZ8I/AAAAAAAFSl8/GTm3VbZmPtw/s72-c/IMG_3007.jpg)
morogoro mambo mswano, mpunga kibao
![](http://3.bp.blogspot.com/-d-Q50Mk70tU/Ux2NAcuWZ8I/AAAAAAAFSl8/GTm3VbZmPtw/s1600/IMG_3007.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BIEWYApG3ZU/Ux2M_V7VNII/AAAAAAAFSl4/ZpywuIX7MrE/s1600/IMG_3008.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia
10 years ago
Tanzania Daima08 Sep
Kampuni ya Mkulima kununua mpunga Songea
WAKATI Serikali inahangaika kutafuta masoko ya kuuzia mazao ya wakulima, kampuni ya kizalendo ya Mkulima Malt Purpose yenye makao yake makuu jijini Mbeya imejitosa kuanza kununua mpunga. Kampuni hiyo ambayo...